FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Labda pia walifanya hivyo makusudi kwa kumfeed lies ambazo zitapindisha uchunguzi.Mwanzoni walijua wameshammaliza baada ya kumdunga sindano ya sumu kumbe ni ya kichina, ule moto ulikuwa kanyaboya ama ateketee aishe abaki jivu asionekane milele
Hapa kuna clue ya ziada hasa kwenye sindano na hayo mafuta.. Inawezekana kabisa wauaji hawakutaka afe
1. Kwa kumdunga sidhano ya dozi ndogo
2. Kwa kummwagia mafuta kidogo kuwasha moto na kumwachia akimbie
Isingewezekana hata siku moja wauaji wako wakuchome moto halafu wakuache ukimbilie kwenye msaada.. Hawa hata wenyewe walihujumiana.. Muda utasema!
Lets say wametumwa na Boss wake wa kazini lakini wao wanaenda kusema wewe si unajifanya unatembea na waume za watu, sasa ukome. Alafu anaachiwa akiwa hajafa vizuri ili kichwani kwake kuwe na nadharia wauaji wangu wananishutumu nilikuwa natembea na mme wa mtu. So obvious hata huko hospital na kwa wazazi akatoa kauli hiyo hapo tayari uchunguzi unapindishwa




