Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Hili suala la hiki kifo kinanikumbusha mbali sana.Kuna swaiba wangu alisomesha pisi moja ualimu. Pia akaitafutia kazi ...imepata kazi tu ikamtema mshikaji.

Kama isngekua sisi kulikua na mawili ni jamaa kumpoteza ama ile pisi kali kupotea. Hapa ndo niliona faida ya marafiki wa ukweli maana tulishikana kumshauli jamaa japo ilikua ni ngumu lakini tulifanikiwa jamaa akakaa sawa ila jamaaa alikua kaingia unyama wa hali ya juu maana ilibidi tuwe tunamlinda km Elon Musk akiwa twiter.

Jamani utapeli wa mapenzi ama dhuluma tuache tunapo ona haya yawe fundisho kwetu.
 
Nimesoma mahala, hii wanasema Boss wake alimwambia aandike cheque ya 1B.
Halafu aseme ilikosewa, ili hizo hela zisionekane bank. Inaonekana martha hakutaka kulitekeleza.

Akawa anamsumbua, akaomba ruhusu kwenda kwao Kibaha. Inasemekana, boss wake akampigia Baba mzazi wa Martha, akamwambia amwambie mtoto wake, aache kazi ndani ya masaa 24.

Katika yote hayo yaliyokuwa yanaendelea, Martha alikuwa akiwasiliana na Baba yake na mchumba wake.

Wakasema siku ya tukio, alipigiwa simu na wafanyakazi wenzake, wa Shinyanga. Kuwa wanasafiri watapitia hapo Kibaha, wamsalimu mara moja. Alipotoka hakurudi tena.
Inavyosemakana boss anashikiliwa.
*Nimesoma sehemu tu, nikaileta kama ilivyo.
Mambo ya Branch Manager hayo....wazushi sana hawa watu
 
Lakini ni wazi aliitwa na sauti anayoitambua na kuwa na hakika nayo

Bila shaka sauti na hata namba alizitambua vyema ndiyo maana angekwenda kokote ambako wangemhitaji. Angalia hii:

“The only way they could get to my uncle was via a friend,” said Batenga. “To get him into that room, it had to be someone he trusted implicitly. That was always Uncle’s weak point, and they knew it: the faith he placed in his friends.”

Rwanda’s Khashoggi: who killed the exiled spy chief?
 
Bila shaka sauti na hata namba alizitambua vyema ndiyo maana angekwenda kokote ambako wangemhitaji. Angalia hii:

“The only way they could get to my uncle was via a friend,” said Batenga. “To get him into that room, it had to be someone he trusted implicitly. That was always Uncle’s weak point, and they knew it: the faith he placed in his friends.”

Rwanda’s Khashoggi: who killed the exiled spy chief?
Kikulacho...!
 
Lakini ni wazi aliitwa na sauti anayoitambua na kuwa na hakika nayo
Nakubaliana na wewe, ila hakuna mwenye uhakika kama hiyo sauti ni halisk au ni ya kuigiza, lets say aliitwa na sauti inayofanana na ya boyfriend wake au mganyakazi mwenzake, unless kama aliweza kuzungumza na kuelezea tukio zima ikiwa ni pamoja na watu aliokutana nao na wakamtendea tukio, bado kuna kazi ya kujiridhisha juu ya watuhumiwa wa tukio
 
Nukuu kutoka chanzo kisicho halisi:


Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha 😔.

Mwisho wa Nukuuu.
 
Nukuu kutoka chanzo kisicho halisi:


Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha 😔.

Mwisho wa Nukuuu.

Hizi Ni speculations, na inawezekana waliohusika ndio wanaeneza hizi propaganda. Sasa Kama aliambiwa afoji cheque kwanini hakwenda polisi.
 
Hii nayo kwa wabobevu ni rahisi mno. Line ya simu inakupa IMEI namba na inapokuwa mahali simu ikiwa on unajichorea ramani ya matembezi yako. Kifupi utakamatwa. Sisemi mengi bgoja niishie hapo. Hawa wauaji kama alivyosema Mshana Jr watakamatwa kama kuku. Tena familia ina pesa na ndugu zake wana pesa yaani mkate ngumu mbele ya chai hakuna. Tena itakuwa na high level investigation. Mark my words.
Nadhani hata hujaelewa nilichokuwa naongelea mkuu
 
Mshana jr tayari umewapa vyombo vya ulinzi na usalama pa kuanzia.

Uzi huu ubaki hapa hapa mpaka tupate mrejesho nani alihusika na tukio hili maana linaumiza sana. Kongole Mshana jr kwa chapisho lako linalotutoa tongongotongo tusio na uwezo wa fikra pevu.
 
Back
Top Bottom