Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Mshana jr tayari umewapa vyombo vya ulinzi na usalama pa kuanzia.

Uzi huu ubaki hapa hapa mpaka tupate mrejesho nani alihusika na tukio hili maana linaumiza sana. Kongole Mshana jr kwa chapisho lako linalotutoa tongongotongo tusio na uwezo wa fikra pevu.
Amna mtu atashikwa Kwa haya mauaji
 
Doooohhh mimi niliwaza kivingine kwamba kama aliwarusha kifedha wenzake kazini baada ya kupiga deal ,kumbe kwa hapa inaonekana alikataa kupiga deal.

Yaani ukifuatisha series ya matukio yake kabla ya kifo lazima utajua kwamba chanzo cha kifo ni issue za kazi tu....Kitendo cha kuacha kazi mwezi mmoja then linatokea hilo tukio obvious utajua issue ni nini.
Mchaga akatae deal sahau
 
Wauaji hawawezi kufanya makosa ya kijinga ya kuacha trace wazi wazi namna hiyo ,watu wasichokijua ,wahalifu wana mbinu nyingi sana za kuwapoteza vyombo vya dola....Ni rahisi sana kuwapoteza askari kwa kutumia simu na kwa jinsi wasivyodig deep muhalifu anaweza akawingiza choo cha kike wakaenda kumkamata mtu siyo.(watu wa cyber wanajua hili ,siwezi kuweka wazi mbinu hii).

Kuna softwares/service kibao kwenye simu zinazoweza kubadili sauti ,kuna magic voice ,kuna software za kuitune sauti ifanane na mtu flani ,akikupigia unasikia kabisa sauti yake ,kuna software ukipigiwa inakuja namba ya mtu wako wa karibu kabisa ambapo umasave jina lake ila hapigi yeye.

Si rahisi wafanyakazi wenzake wenye motive ya kumuua wampigie simu kwamba wanakuja kumsalimia maybe a coincidence or muhalifu alitumia mwanya huo baada ya kusikia kwamba wafanyakazi wenzake wanakuja naye akatumia loophole hiyo hiyo kufanya yake.
wahalifu wana mbinu nyingi sana za kuwapoteza vyombo vya dola


Una HOJA ww
 
Careful. Tread careful!

Remember this girl was not a SAINT ndio maana in the long run akajikuta in that spot... So untimely!

Wachaga wana nini...? Every now and again wao tu ndo wanauwawa au kuuana in a very satanic model... E.g gunia la mkaa kule kigamboni, bastora sinza, kuchomwa kwa petrol kimara kama uyu tu alivyokua drugged and set to flame by employing flammable liquid dah u know the killer alikusudia... FIRST DEGREE MURDER u know!

As beautiful as a coiled cobra... Am sure this damsel ubaya aliuanza yeye but the other side wasn't lazy at returning the favor.

Rest in peace.
this girl was not a SAINT ndio maana in the long run akajikuta in that spot... So untimely!


Una hoja
 
Careful. Tread careful!

Remember this girl was not a SAINT ndio maana in the long run akajikuta in that spot... So untimely!

Wachaga wana nini...? Every now and again wao tu ndo wanauwawa au kuuana in a very satanic model... E.g gunia la mkaa kule kigamboni, bastora sinza, kuchomwa kwa petrol kimara kama uyu tu alivyokua drugged and set to flame by employing flammable liquid dah u know the killer alikusudia... FIRST DEGREE MURDER u know!

As beautiful as a coiled cobra... Am sure this damsel ubaya aliuanza yeye but the other side wasn't lazy at returning the favor.

Rest in peace.
As beautiful as a coiled cobra... Am sure this damsel ubaya aliuanza yeye but the other side wasn't lazy at returning the favor.



Baba ametulia ila Kuna ela alikuwa nazo Martha za wizi na janja janja.
 
Back
Top Bottom