Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Unataka nikwambie kuwa nimefanya nao kazi ndio uridhike
Nimedaka nao sana simu za call center chini ya CEO steve torode na manager Naimi,supervisor fred mwanry,
Kwahiyo labda ni wivu tu wenzako wamefanikiwa kuliko wewe au sio??

Alafu nimeenda mpaka high court kutafuta kesi yake lakini sijaona. Unaweza tuwekea link yeyote inayoonyesha kashtakiwa?
 
Kiintelenjensia.
Hakuna muhalifu yeyeto Smart ni lazima ataacha tu alama pa kuanzia.
Watu wakiingia mitamboni mbona sekunde tu wauaji udakwa chapu.
Hapo pa kuanzia ni sehemu mbili tu ishu ya mapenzi au kazini. Tap call zake zote kuanzia siku ya tukio rudi nyuma hata miezi 3 ukizisikiliza zitakupa starting point na lazima utampata tu muuaji.
Ipo hivi
Kabla ya mauaji huwa ni lazima mawasiliano ya simu uwepo yakiwa na nia ya urafiki na sio hitimisho la mauaji, mauaji huja baada ya kushindwa kufikiana kwa muafaka.
Kosa kubwa la wauaji ushindwa kutambua back walitumia simu kuongea.
KWA hili unaweza tumia
1.Technologia ya mawasiliano kupitia call recording
2.White magic pia ukupa picha ya tukio zima.
Ukimsikiliza baba yake anaongea codes ni kama kuna kitu anakihisia ambacho kina uelekeo wa ukweli sababu alikuwa karibu na binti yake kuna mambo alishea nae thus hakutaka kufunguka sana.
Kifupi hakuna muhalifu smart popote duniani hata awe na akili au ujanja vipi ni lazima ataacha shaka.
Technology na white magic haziongopi. Labda tu wahanga waamue tu kumuachia Mungu , KARMA
White magic ndio nini mkuu?
 
Jamani tujaribu kuepuka mambo yanayoweza kutuweka hatarini maana hatuijui siku wala SAA...chukulia tukio LA huyu Dada polisi wakiamua litaenda na mkeka wa watu ni balaa.
Wafuatao wajiandae kusota lupango huku upelelezi ukiendelea.
1. Waliokuwa na bifu LA wazi.
Hawa ndio watakuwa first suspect na tenga lazima liwazoe. usiweke bifu zisizo na maana na MTU,utakuja lala pabaya kwa upuuzi wako
2. Call logs ya simu kwa siku hizo.
wale mnaopenda kupiga pigs simu bila mpangilio au sababu maalum hapo tenga haliwaachi salama. Mpaka umenyoosha maelezo umeshahenya.
3. Wapenzi na marafiki wa karibu.
4. Baadhi ya wafanyakazi wenzake.

lazima mtuhumiwa atoke kwenye moja kati ya haya makundi. Stay tuned
 
White magic ndio nini mkuu?
Mtaalamu wa akili ni mtu anayedai kutumia utambuzi wa ziada (ESP) kutambua taarifa iliyofichwa kutoka kwa hisi za kawaida, hasa zinazohusisha telepathy au clairvoyance, au ambaye anafanya vitendo ambavyo havielezeki na sheria za asili, kama vile psychokinesis au teleportation.
 
Mtaalamu wa akili ni mtu anayedai kutumia utambuzi wa ziada (ESP) kutambua taarifa iliyofichwa kutoka kwa hisi za kawaida, hasa zinazohusisha telepathy au clairvoyance, au ambaye anafanya vitendo ambavyo havielezeki na sheria za asili, kama vile psychokinesis au teleportation.
So kwa lugha nyepesi ni ramli?
 
Unaongea kujifurahisha tu mimi nina data za uhakika niko group moja la wasap na dada yake tuko msibani hapa tulikuwa KKKT kanisani Kibaha muda si mrefu,mzee Towo anakaribia miaka 70 au zaidi awe na first born miaka 30???acha bangi
Kwani mtu mwenye 70 hawezi kua na first born miaka 30?
 
Kwahiyo labda ni wivu tu wenzako wamefanikiwa kuliko wewe au sio??

Alafu nimeenda mpaka high court kutafuta kesi yake lakini sijaona. Unaweza tuwekea link yeyote inayoonyesha kashtakiwa?
Wamefanikiwaje kwa wizi au,mimi naishi maisha ya kawaida tu niko kazini huu mwaka wa ishirini kwenye makampuni ya simu
Usije ukadhani kule kuna mishahara ya kufuru hivyo kununua discovery4 au range sio rahisi,ni magari ya jawaida tu yadiyozidi milioni 50 njoo kwenye parking za voda,tigo,airtel utaamini ninachosema,utasomesha watoto shule nzuri,utakula vizuri,utavaa vizuri ila gari ya milioni 300 thubutu,kuhusu hiyo kesi kutoonekana masijaka siwezi kuliongekea inategemea umetumia keyword gani kusearch
 
Kwahiyo labda ni wivu tu wenzako wamefanikiwa kuliko wewe au sio??

Alafu nimeenda mpaka high court kutafuta kesi yake lakini sijaona. Unaweza tuwekea link yeyote inayoonyesha kashtakiwa?
Ni kweli huyu dada kuna kipindi huko nyuma alikuwa na kesi na bank ya barclays na ilikuwa inachapishwa hadi na magazeti nakumbuka
 
Wamefanikiwaje kwa wizi au,mimi naishi maisha ya kawaida tu niko kazini huu mwaka wa ishirini kwenye makampuni ya simu
Usije ukadhani kule kuna mishahara ya kufuru hivyo kununua discovery4 au range sio rahisi,ni magari ya jawaida tu yadiyozidi milioni 50 njoo kwenye parking za voda,tigo,airtel utaamini ninachosema,utasomesha watoto shule nzuri,utakula vizuri,utavaa vizuri ila gari ya milioni 300 thubutu,kuhusu hiyo kesi kutoonekana masijaka siwezi kuliongekea inategemea umetumia keyword gani kusearch
Disco 4 ni million 300?? Si unaona unavyojichanganya mwenyewe hapa.

Haya nipe keywords za kusearch maana nimetumia Tunu Towo Kavishe vs Barclays na sijaona
 
Back
Top Bottom