Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Mkuu ni Bank gani kwa sasa inaruhusu kuandika cheque ya zaidi ya 1bn na ikapita? Mbona hii scenario inakataa? Ofisa mikopo aandike cheque ya 1bn? Sasa kazi ya Wahasibu itakuwa nini na ile sheria ya BOT ya kutokuruhusu kuprocess cheque ya zaidi ya 10M zaidi ya kufanya TISS tranfer?
Watu washamba
 
Unaweza usikamatwe.

Twende na scenario hii, unaenda Sumbawanga kama mtembezi huru tu. Ukiwa huko unajenga urafiki na bodaboda au muhudumu wa guest. (Hapa unahakikisha unafikia guest house zile za cheap kabisa na ambazo hazina CCTV). Unahakikisha ukiwa huko na huyo boda au muhudumu wa guest unaepuka kutembelea maeneo yeyote yenye CCTV kama Banks au Bar kubwa kubwa.

Kwa siku tatu au nne ukiwa unampa na viofa ofa vya nyama na pombe na vitip vya pesa tayari utakuwa umejenga uaminifu nae. After that unaigiza umepotelewa na simu, unampa huyo boda 100k unamwambia akakununulie simu ya kawaida tu ya elfu 50 na aende tigo/airtel akasajili line chenji inayobaki yake. Akileta simu na line unahakikisha hiyo simu hausave wala kufanya mawasiliano na yeyote na mtu yeyote zaidi ya target yako pekee. Vocha unaweka za kukwangua tena ikiwezekana unanunua hukohuko kigomo vocha za kutosha then baada ya hapo unakuja Kibaha kupiga kazi.

Je ni rahisi kuweza kukutrace hapo??
Unahangaika akati 10,000 unapata line kariakooo
 
W
ee Ushakutana na Professional Killers Tanzania hiii polisi hawatoboia
Wapo kibao,zamani Chaka lao lilikua sehemu Fulani Mandela road
 
Unaweza usikamatwe.

Twende na scenario hii, unaenda Sumbawanga kama mtembezi huru tu. Ukiwa huko unajenga urafiki na bodaboda au muhudumu wa guest. (Hapa unahakikisha unafikia guest house zile za cheap kabisa na ambazo hazina CCTV). Unahakikisha ukiwa huko na huyo boda au muhudumu wa guest unaepuka kutembelea maeneo yeyote yenye CCTV kama Banks au Bar kubwa kubwa.

Kwa siku tatu au nne ukiwa unampa na viofa ofa vya nyama na pombe na vitip vya pesa tayari utakuwa umejenga uaminifu nae. After that unaigiza umepotelewa na simu, unampa huyo boda 100k unamwambia akakununulie simu ya kawaida tu ya elfu 50 na aende tigo/airtel akasajili line chenji inayobaki yake. Akileta simu na line unahakikisha hiyo simu hausave wala kufanya mawasiliano na yeyote na mtu yeyote zaidi ya target yako pekee. Vocha unaweka za kukwangua tena ikiwezekana unanunua hukohuko kigomo vocha za kutosha then baada ya hapo unakuja Kibaha kupiga kazi.

Je ni rahisi kuweza kukutrace hapo??
Mbona hizi ni idea za kitoto
Utagundua vipi sehemu haina cctv, wakati zipo hiden cctv tena bei rahisi.
Maboda boda wengi ni wazee wa Kazi wengine ni wazugaji unaweza ukadondokea kwa muuza supu.

Huwezi muua mtu yeyeto tu usie na interest nae.

Huwa wanatrace mwanzo wa picha na sio mwisho wa picha,huyo mwenye mikwaruzano nae kazini au kwenye mapenzi
Ndie anaenda pasulliwa speaker yeye ndie atawataja aliowauzia kazi.
Radio mbao mmoja keshadakwa
 
Hii white magic ni nini ndugu?
Pana watu Wana high sense ya imagination ya tukio zima wanakuchorea na kukuonyesha muhusika wa tukio zima. Magreat see au waonaji wanao uwezo wa kumtambua muhusika wa tukio lolote.
Sio rahisi kumnasa Osama, albagdad kiongozi wa ISIS, Savimbi, nk wanatumia njia hii then unatumiwa drone yenye rocket unazikwa hai.
 

Attachments

  • Screenshot_20230313_155313.jpg
    Screenshot_20230313_155313.jpg
    108 KB · Views: 7
Mbona hizi ni idea za kitoto
Utagundua vipi sehemu haina cctv, wakati zipo hiden cctv tena bei rahisi.
Maboda boda wengi ni wazee wa Kazi wengine ni wazugaji unaweza ukadondokea kwa muuza supu.

Huwezi muua mtu yeyeto tu usie na interest nae.

Huwa wanatrace mwanzo wa picha na sio mwisho wa picha,huyo mwenye mikwaruzano nae kazini au kwenye mapenzi
Ndie anaenda pasulliwa speaker yeye ndie atawataja aliowauzia kazi.
Radio mbao mmoja keshadakwa
Wewe n mshamba line kariakooo 10,000 tuuuu
 
Siku hizi watu hawapigi tena simu za kawaida kama wanaplot jambo lao, iwe rushwa, kuiba au kuua. Wanatumia WhatsApp Call na huko kupata sauti sijui mpaka uende huko LA, CA labda.

Hata hiyo call ya mwisho unaweza kuta bodaboda kapewa elfu kumi katoa kitambulisho watu wakamsajilisha line. Yote kwa yote lazima kuna a small mistake wamefanya na ndio itawakamatisha
Bado network connection ya whatsapp inapita kwenye Mobile Service Providers wa nchi husika mkuu
 
Familia iko kwenye msiba mzito. Tunawapa pole. Ni kifo kinachotokana na mauaji hivyo hakiwezi kukosa mijadala na msingi wa hiki kifo cha mauaji lazima kiwe na sababu, kiwe na viashiria.

Kiwe na mhusika/wahusika wakuu
Kiwe na bajeti
Kiwe na watendaji/watimiza lengo. Kwa msingi huu wauaji
Kiwe na mpango kazi
Kiwe na fool proof
Kusiwe na dosari kuanzia kupanga, kutekeleza na hatimaye kutawanyika na kumalizana kama kuna malipo ya mwisho yalikuwa bado

Uchunguzi wa kifo hiki ni rahisi sana na si chini ya watu 20 wanaweza kuhusishwa nacho, ambapo watachujwa mpaka watabaki si chini ya watano .. Na ni uchunguzi rahisi kutokana na makosa mengi waliyofanya wauaji.. Hawakuwa wajuzi maana wajuzi huwa hawaachi alama! Japo kuna kosa moja dogo sana hufanya na kufumua mpango wote.

Uchunguzi wake utaanzia kazini kwake, maisha yake nje ya kazi, marafiki zake, wateja wake, mishe na dili zake, mawasiliano yake pamoja na mahusiano.. Hapa ni kwa ajili ya ku 'establish' Msingi wa kesi na 'motive' ya muuaji/wauaji.

Uchunguzi wa pili ni eneo lilikofanyika tukio.. Pori la Mitamba linalosifika kwa matukio ya mauaji, Mitamba halina tofauti sana na Mabwepande na kama linaweza kuchunguzwa vizuri kuna maiti ngingi mule zinaweza kuwa zimezikwa.

Mitamba liko Kibaha njia ya kwenda Bagamoyo eneo linaitwa Pangani.. Sehemu kubwa ya pori la Mitamba ni eneo la wizara ya mifugo na uvuvi na kuna kipindi matapeli wa viwanja Kibaha walilivamia na kuwauzia watu viwanja mpaka serikali ikaingilia kati.

Marehemu ni mkazi mwenyeji wa Kibaha Kwambonde kakulia hapo, kosoma Tumbi nknk. Wazazi wake wanaishi hapo mpaka sasa na ni watu unaoweza kuwaita maarufu eneo hilo na hata kanisani kwao Tumbi. Kwanini muuaji/wauaji wakachagua kuja kummaliza 'nyumbani kwao'?

Marehemu alisafiri salama salimini toka kituo chake cha kazi Shinyanga mpaka nyumbani Kwambonde Kibaha. Pengine alitumia ndege, usafiri binafsi au wa jumuiya lakini alifika salama.

Je, wauaji walikuwa wanamfuatilia kote huko?
Je, wauaji ndio walimuita aje Kibaha?
Je, lengo lake la kuja nyumbani Kibaha lilikuwa ninini?
Je, mpango wa kummaliza Kibaha pori la Mitamba ulikuwa mpango plan A au B?

Marehemu siku ya tukio alikuwa kanisani na ndugu zake.. Ni wazi alipata wito wa kuitwa nje mara moja ama kwa ishara ya mtu alikuwa ndani ya kanisa ama kwa simu kwakuwa mikoba yake aliacha alipokuwa kaketi. Hakurudi!

Ni wazi walimuita walikuwa nje kabisa ya kanisa barabarani! Kanisa la KKKT Tumbi liko pembezoni mwa barabara ya kuelekea Tumbi hospital. Ni wazi kulikuwa na gari ambalo ama alipanda kwa hiari ama kwa lazima/Kutekwa.

Ni wazi safari ilianza kuelekea Pangani pori la Mitamba.. Macho ya marehemu yata 'reveal' kilichotokea ndani ya gari kwa hicho kipindi chote mpaka kufika Mitamba kumwagiwa Petrol na kuchomwa moto!



Ukurasa wa pili juu ya mpango kazi ambao ninaamini ndio plan A.

Wauaji waliona eneo salama la kummaliza ni eneo la nyumbani alikozaliwa. Wauaji ni wenyeji wa Kibaha wanaofahamu vema jiografia ya Kibaha hasa eneo la Mitamba Pangani ambako hakuna doria za polisi, kuko kimya na mbali na makazi ya watu. Pia ni eneo lenye gate away nzuri kwahiyo ni rahisi kupoteza maboya mtu anayekufuatilia.

Unaweza kutokea Kimara
Unaweza kutokea Baobab
Unaweza kutokea Kibaha maili moja eneo la shell
Unaweza kutokea NIDA
Unaweza kutokea picha ya Ndege
Unaweza kutokea Loliondo nk na kote huko mtu asijue umetokea Mitamba Pangani

Kwa vyovyote mwenye mpango wake alikodi watu wa kumsaidia kuutimiza
  • Dereva
  • Mfuatiliaji aliyekuwa kanisani
  • Mtu aliyempatia sindano ya sumu
  • Backup
  • Hapa kuna watu wa kati hawakosekani
  • Malazi, kama watekeleza mpango walitoka mbali ni wazi walilala gesti za maeneo ya Kibaha ama jirani na Kibaha.
Loose ends/makosa ya kiutendaji yasiyotarajiwa
Wajuzi hufanya rehearsal hata zaidi ya mara tano kutegemeana na mlengwa na bajeti na kila rehearsal hugundua makosa kadhaa na kuyarekrbisha.

Je, makosa makubwa kwenye hili tukio ni yapi?

1. Mtandao wa mawasiliano simu na jumbe za sauti na maneno
2. Kuhusisha watu zaidi ya mmoja
3. Kutochagua wajuzi wa kazi
4. Kutofanya rehearsal
5. Kumchoma sindano ambayo haikuwa na sumu kali au ambayo haikuchomwa kwa usahihi
6. Kudhani amekwisha kufa hivyo kutengeneza fool proof ya kumchoma moto uliomzindua
7. Pengine kuondoka eneo la tukio haraka bila kuhakikisha ameungua vizuri
8. Macho kubaki salama, yalirekodi kila kitu

Kwa dondoo hizo hii kesi ni nyepesi kuliko ya bilionea Msuya ana yule mzungu wa tembo. Marehemu alibaki kuwa hai kuanzia tarehe 3 march mpaka 9 alipoaga dunia. Siku sita ni nyingi sana kuweza kupata na kujua mengi

Damu ya mtu ni nzito na inanuka! Harufu hukoma haki ikitendeka
Makosa yote yaliyofanywa na wauaji au muuaji ni mpango wa Mungu ili ajulikane au wajulikane. Wamefanya uzembe mkubwa kuteka kwa kutumia simu
 
Back
Top Bottom