Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Unaweza usikamatwe.

Twende na scenario hii, unaenda Sumbawanga kama mtembezi huru tu. Ukiwa huko unajenga urafiki na bodaboda au muhudumu wa guest. (Hapa unahakikisha unafikia guest house zile za cheap kabisa na ambazo hazina CCTV). Unahakikisha ukiwa huko na huyo boda au muhudumu wa guest unaepuka kutembelea maeneo yeyote yenye CCTV kama Banks au Bar kubwa kubwa.

Kwa siku tatu au nne ukiwa unampa na viofa ofa vya nyama na pombe na vitip vya pesa tayari utakuwa umejenga uaminifu nae. After that unaigiza umepotelewa na simu, unampa huyo boda 100k unamwambia akakununulie simu ya kawaida tu ya elfu 50 na aende tigo/airtel akasajili line chenji inayobaki yake. Akileta simu na line unahakikisha hiyo simu hausave wala kufanya mawasiliano na yeyote na mtu yeyote zaidi ya target yako pekee. Vocha unaweka za kukwangua tena ikiwezekana unanunua hukohuko kigomo vocha za kutosha then baada ya hapo unakuja Kibaha kupiga kazi.

Je ni rahisi kuweza kukutrace hapo??
.....bado utakamatwa kirahisi sana.....Simu ukiwasha ukaweka line tayari inaanza kusoma mnara wa sehemu uliopo....Tena Kwa case yako kukamatika itakuwa simple sana sababu cycle yako ni fupi sana,wewe na aliye kusajilia line.
Mradi tu huyo mtu aliyekusajilia line ana akili timamu,kumbukumbu nzuri tayar atalisaidia jeshi la polisi wewe kupatikana.
Kwa Dunia ya sasa kwenye crime yoyote unayotaka fanya usitumie nyenzo yoyote ya mawasiliano inayohusiana na teknolojia.

OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA.
 
Ila tuongee yote huyu dada amekufa kifo kibaya sana...
Hata kama na yeye alikuwa na matendo ya mafia hakustahili hata kidogo
Mwanzoni walijua wameshammaliza baada ya kumdunga sindano ya sumu kumbe ni ya kichina, ule moto ulikuwa kanyaboya ama ateketee aishe abaki jivu asionekane milele
Hapa kuna clue ya ziada hasa kwenye sindano na hayo mafuta.. Inawezekana kabisa wauaji hawakutaka afe
1. Kwa kumdunga sidhano ya dozi ndogo
2. Kwa kummwagia mafuta kidogo kuwasha moto na kumwachia akimbie

Isingewezekana hata siku moja wauaji wako wakuchome moto halafu wakuache ukimbilie kwenye msaada.. Hawa hata wenyewe walihujumiana.. Muda utasema!
 
Sahau watu WACHAWI mzeee



Unajua Kuna watu wameloga Hadi nguvu za Mungu wa Abraham isaka na yakobo?




Au humjui farao ni nani
Uchawi hauna mjuzi wala mshindi,ukiwa gwiji yupo gwiji zaidi yako,ukijua hili wengine wanaenda direct kwa lusifer mwenyewe utaponea wapi.
Ishi vizuri na watu usimtendee mabaya mtu Ili uchawi usikudhuru
 
Mwanzoni walijua wameshammaliza baada ya kumdunga sindano ya sumu kumbe ni ya kichina, ule moto ulikuwa kanyaboya ama ateketee aishe abaki jivu asionekane milele
Hapa kuna clue ya ziada hasa kwenye sindano na hayo mafuta.. Inawezekana kabisa wauaji hawakutaka afe
1. Kwa kumdunga sidhano ya dozi ndogo
2. Kwa kummwagia mafuta kidogo kuwasha moto na kumwachia akimbie

Isingewezekana hata siku moja wauaji wako wakuchome moto halafu wakuache ukimbilie kwenye msaada.. Hawa hata wenyewe walihujumiana.. Muda utasema!
Itakuwa asee
Walitaka abaki majivuu ikashindikana
 
.....bado utakamatwa kirahisi sana.....Simu ukiwasha ukaweka line tayari inaanza kusoma mnara wa sehemu uliopo....Tena Kwa case yako kukamatika itakuwa simple sana sababu cycle yako ni fupi sana,wewe na aliye kusajilia line.
Mradi tu huyo mtu aliyekusajilia line ana akili timamu,kumbukumbu nzuri tayar atalisaidia jeshi la polisi wewe kupatikana.
Kwa Dunia ya sasa kwenye crime yoyote unayotaka fanya usitumie nyenzo yoyote ya mawasiliano inayohusiana na teknolojia.

OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA.
Google unsolved case
 
Pana watu Wana high sense ya imagination ya tukio zima wanakuchorea na kukuonyesha muhusika wa tukio zima. Magreat see au waonaji wanao uwezo wa kumtambua muhusika wa tukio lolote.
Sio rahisi kumnasa Osama, albagdad kiongozi wa ISIS, Savimbi, nk wanatumia njia hii then unatumiwa drone yenye rocket unazikwa hai.
Savimbi na Al Baghdad walikuwa vibaraka wa marekani,albaghdad alishapiga picha na Biden ikulu ya marekani Biden akiwa vp,savimbi waliamua kumuuza kwa kuwa serikali ya Angola ahaikua shida Tena kwa maslahi ya marekani,Osama..ikiwa yale maelezo Yao ni kweli basi simu ya Al Kuwait ndiyo iliyozua msala
 
Kashalala Martha..
Screenshot_20230313-165858.png
 
SAsa hio crime simple tu ndo iwashinde investigator.
Kazini au mapenzi muuaji yupo sehemu hizi mbili.
Muhusika sio ndie aliyetenda bali amekodi.
Ukimpata muhusika ( master minder) umewapata wauaji waliolipwa kutenda.
Rejea ishu ya Msuya bilionea wa tanzanite.
Mke wake ndie masta minder akishirikiana na marafiki zake marehemu pia ni masta minder kwa kifo cha wifi yake (Annette) aliyekuwa akifatilia kifo cha kaka yake.
Mke yupo jela kakosa pesa kakosa UHURU.
Haya maisha ya Dunia ya kupita haya

Hawa wahalifu wa kibongo wanaotegemea waganga wa kienyeji level zao zipo chini Sana kuhusu crime.
Eti mtu anafanya uhalifu halafu anategemea mpumbavu ( mganga wa kienyeji) hao huwa tunawatandikaga Sana na matunguri yao tunapiga na kiberiti kabisa vilinge vyao na majini yao.
Wahalifu wa kibongo bado sana sema tu watu waamue tu kupotezea.
 
kigogo alishawahi daka hata clues

Jeshi

Usalama
Polisi
Uhamiaji wote weupe

Na Kwa taarifa zako nilishawahi kunywa pombe na mtu na nikaona Nikati ya kigogo maana alilewa akashika simu vibaya

Ila huwezi amini ni kati ya watu Serikali iliwapa mafunzo nnje na mpaka Leo yupo
Hahahahahaha we jamaa bwana.. Saw mkuu we ni mtanzania pekee unayemjua Kigogo
 
Kuanzia tar 3 mpaka 9,lazima marehemu kuna mambo atakuwa
Ameyazungumza...

Ova
Mkuu mrangi hii kesi naona ni rahisi sana kutatua, sema polisi wetu siyo weledi. Ilitakiwa sasa hivi wawe wameshapata watuhumiwa kwani mazingira aliyochukuliwa na kuuawa ni lazima waliacha ''nyayo'' kila mahali. Kwa mfano wakichunguza mawasiliano yake na simu zilizozokuwa maeneo waliyozunguka wanaweza kuja na kitu. 1. Mapenzi (alimkacha mwanaume au alichukuwa mwanaume wa msichana mwingine. 2. Dhuluma kwenye kupiga ma-deal
 
Back
Top Bottom