Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

ila kuna kitengo kule polisi cha shirki wakiona wanasumbua kuwapata wanawaweka kwenye chungu maalumu kuwachungulia na kuwazubaisha ufahamu hawatoki nje ya eneo walilofanya tukio au nje ya mipaka ya nchi waliyofanya tukio watabaki wanazunguka tu humu mpaka watakapokamatwa.. kazi za upelelezi noma sana..
Hahahaha watu wajanja
 
Hivi umeshawaona wale wabongo wanaochora picha za watu na zinatoka like picture za camera? Umeshawaza kama vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vina watu wa namna hiyo? Akikaa na dogo wa bodaboda 8hrs nini kitatokea?
Mkuu unadhani ni rahisi sana kukumbuka sura ya binadamu then uanze kui interpret?? Tena kwa mtu wa kawaida tu kama bodaboda?
 
Usicheze na kahama na kahama kuna matajiri alafu wenye roho za ajabu?
Pili, huyu dada alikuwa mapepe?
Tatu, kabla ya kwenda kibaha alifukuzwa kwa sababu za kiofisi ijulikani ni utovu au mengine kiofisi.
Nne hakuwa na cheo hiko ni Afisa mikopo.
Tano, matukio ya kahama kesi za kufanyiana unyama zipo sana sio mapenzi,sio biashara na n.k.
Uzuri wa huyu dada inaonyesha alikimbia kuofia vitisho kwa mwanamke mwenzake au mapenzi?
Wewe naona utasaidia vzuri Jeshi la Polisi
 
Mkuu unadhani ni rahisi sana kukumbuka sura ya binadamu then uanze kui interpret?? Tena kwa mtu wa kawaida tu kama bodaboda?
Mkuu ni nshu ya masaa tu, kumbuka kwenye scenario yako ulisema mmejenga mazoea kwa muda wa siku kadhaa na akakuamini!!
 
Ili kukuonesha kuwa wewe ni mwepesi, kwenye video iliowekwa hapa kwenye huu Uzi. Baba wa marehemu anasema baada ya wasamaria wema kuzima moto, Binti alitaja namba ya baba ake ili apewe taarifa.

Sasa kama mtu akiwa na majeraha ya moto aliweza kukumbuka namba ya simu ya baba ake!!
Vipi zile siku 6 alizoishi alikumbuka na kusema mangapi?
Watu wajanja amemezeshwa matango pori Amna professional killer boya
 
FROM WADAU MUINE UZITO WA HII KESI

Ni hivi;

1. Kuna tetesi zinasema alikuwa amtambulishe mchumba wake kesho yake tu

2. Alivyokuwa kanisani alipigiwa simu na kwa jinsi Mzee alivyoongea ni kama hao watu wabaya waliiga sauti ya boyfriend wake.

3. Alivyotoka kwenda kuitikia wito wa aliyedhani ni boyfriend wake, ndio akatokomea mazima.

4. Martha alikuwa na fahamu mpaka akataja namba za baba yake, so yawezekana pia kabla hajapoteza fahamu kabisa alitoa abc kwa familia ndio maana Mzee anaongea kwa confidence kabisa

5. Wauaji ni watu smart sana, walijua kanisani kuna CCTV so wao walikaa nje mbali kabisa ili hiyo CCTV isiwaone wala kuona usafiri wao.

6. Martha aliachishwa kazi mwezi mmoja nyuma, yawezekana kulikuwa na uchunguzi unaendelea na Martha angeweza kuwa mtoa ushahidi muhimu kwahiyo.

7. Kwa Scenario ya mauaji haya, hii ni dhahiri sio wivu wa mapenzi ila ni mambo ya kazi. Wauaji ni Professional killers na lazima wamekodiwa na watu wenye mpunga mrefu kuficha traces zozote za ushahidi.

8. Branch Manager na staffs wa BOA Kahama kazi mnayo

Mkuu, umeshasema hapo kwamba "presumably"...that means inawezekana polisi walizungumza naye au hawakuzungumza naye. Lakini pia, zingatia kwamba ukiwa hai tena ICU haimaanishi kwamba ni lazima uweze kuzungumza, pengine alikuwa anapumua tu lakini hoi bin taaban.

Aidha, hata kama aliweza kuzungumza, ushahidi wa huyu mgonjwa hauwezi kuaminiwa kama ulivyo kwa kuzingatia hali yake. Lazima ushahidi huu uhusianishwe na ushahidi mwingine ili kuupa nguvu.

Sheria ni sayansi. Shahidi namba moja akishakufa huwa kuna mambo mengi ambayo yanafifisha uzito wa ushahidi wa watu wengine.

In criminal litigations the standard of proof is BEYOND REASONABLE DOUBTS. Ishu inakuja hapo kwenye kuthibitisha bila kuacha shaka. Ndiyo maana watuhumiwa wengi wa makesi ya namna hii huwa wanaachiliwa huru hata kama ni kweli wametenda kosa.
"walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo"

Unaweza kuelezea kidogo hapa mkuu. Kitu gani kingelisababisha aongee maneno yanayoweza kuondoa ushahidi wa tukio baada ya kufanikiwa kupona kifo?
Kuna uwezekano wauaji walimfuatilia mienendo yake na kumfahamu na kum mark vya kutosha.
Inawezekana, baada ya kumteka wakawa wanampiga biti kwamba siku nyingine iwe fundisho kwa wanaopenda kuingilia either mahusiano ya watu au mambo yasiyomhusu kitu ambacho kinakuwa rahisi kwa marehemu ku connect dots na kujua watu hawa watakua ni akina fulani au wametumwa na fulani (hapo wauaji wanazidi kujijengea kinga ya jata kuhisiwa)
Kitu ambacho kitapelekea vyombo vya uchunguzi vilivyomhoji kuelekeza nguvu zao ambako maelezo ya marehem yameelekeza.

Wakati kiuhalisia kifo cha marehemu kitakua kinahusiana na tukio la yofauti kabisa na maelezo ya marehemu.

Cha kufanya, wajaribu kufanya tracking katika biashara za marehemu tangu akiwa Babati hadi alipohamia Kahama.

Waangalie manunuzi aliyowahi kuyafanya na malipo yake yalikuaje.

Waangalie mazingira ya kuacha kazi yalikuwaje, na mahusiano aliyokua nayo na wateja wa bank kote alipowahi kufanyia kazi.

Waangalie mahusiano na wafanyakazi wenzake, hasa wale wafanya kazi wenzake ambao ni 'Partners in Crime' ambao huku uswahili huwa tunapenda kuwaita 'Pika pakua'. Lazima kuna issue ya mgao iwe inahusika hapo.

Nina uhakika mpaka sasa wana taarifa za kutosha kuhusiana na jinsi alivyoondoka kanisani.
Pale Kahama lazima kutakua na eneo pendwa ambalo marehemu alikua akipenda kutembelea akiwa na watu fulani, ni muhimu sana kuipitia nayo.
 
We juha Tunu alianzia hukohuko Airtel akiwa na cheo kikubwa tu.. Hivi unaweza kuwa Afisa Mahusiano wa kampuni kubwa kama Airtel alafu usiwe na pesa??

Alafu kununua gari ni jambo lake binafsi tu, unajuaje labda baada ta kesi kuisha alichukua mafao yake ndio akafanya yote hayo? Unajuaje labda hakununua gari huko nyuma sababu alikuwa akitumia gari aliyopewa kazini na baada ya kurudisha ndio akanunua hiyo Discovery??

Alafu huyo ni dada wa kiukoo tu labda wa baba mkubwa au mdogo lakini sio mtoto wa yule mzee (baba yake Martha). Tafuta clip ya Millad Ayo ya yule Mzee akiongea kanisani amesema mwenyewe kwake wapo wawili tu na amebakiwa na mmoja sasa..
Tunu na godfrey walianzia call center celtel,hapo sayansi,waliendelea kupanda vyeo ofcoz ola hakuna hata mkoja aliyetoka na net salary ya 4m.
Naongelea celtel ya steve torode,naimi,hilda nakajumo,fred mwanry,zephania,zuhura muro,
 
Akili yako imekutuma ugomvi ulianza siku hiyo hiyo na action zikachukuliwa siku hiyo hiyo.

Hebu jaribu kuashumu kinaweza kuwa ni kisasi hata cha miaka 4 iliyopita.
sasa ndo useme yeye ndo alianzisha ugomvi?? sema kisasi na sio kwamba huyo binti alitoka hapo kanisani kwenda kuanza kugombana na mtu.
 
FROM WADAU MUINE UZITO WA HII KESI

Ni hivi;

1. Kuna tetesi zinasema alikuwa amtambulishe mchumba wake kesho yake tu

2. Alivyokuwa kanisani alipigiwa simu na kwa jinsi Mzee alivyoongea ni kama hao watu wabaya waliiga sauti ya boyfriend wake.

3. Alivyotoka kwenda kuitikia wito wa aliyedhani ni boyfriend wake, ndio akatokomea mazima.

4. Martha alikuwa na fahamu mpaka akataja namba za baba yake, so yawezekana pia kabla hajapoteza fahamu kabisa alitoa abc kwa familia ndio maana Mzee anaongea kwa confidence kabisa

5. Wauaji ni watu smart sana, walijua kanisani kuna CCTV so wao walikaa nje mbali kabisa ili hiyo CCTV isiwaone wala kuona usafiri wao.

6. Martha aliachishwa kazi mwezi mmoja nyuma, yawezekana kulikuwa na uchunguzi unaendelea na Martha angeweza kuwa mtoa ushahidi muhimu kwahiyo.

7. Kwa Scenario ya mauaji haya, hii ni dhahiri sio wivu wa mapenzi ila ni mambo ya kazi. Wauaji ni Professional killers na lazima wamekodiwa na watu wenye mpunga mrefu kuficha traces zozote za ushahidi.

8. Branch Manager na staffs wa BOA Kahama kazi mnayo

Mkuu, umeshasema hapo kwamba "presumably"...that means inawezekana polisi walizungumza naye au hawakuzungumza naye. Lakini pia, zingatia kwamba ukiwa hai tena ICU haimaanishi kwamba ni lazima uweze kuzungumza, pengine alikuwa anapumua tu lakini hoi bin taaban.

Aidha, hata kama aliweza kuzungumza, ushahidi wa huyu mgonjwa hauwezi kuaminiwa kama ulivyo kwa kuzingatia hali yake. Lazima ushahidi huu uhusianishwe na ushahidi mwingine ili kuupa nguvu.

Sheria ni sayansi. Shahidi namba moja akishakufa huwa kuna mambo mengi ambayo yanafifisha uzito wa ushahidi wa watu wengine.

In criminal litigations the standard of proof is BEYOND REASONABLE DOUBTS. Ishu inakuja hapo kwenye kuthibitisha bila kuacha shaka. Ndiyo maana watuhumiwa wengi wa makesi ya namna hii huwa wanaachiliwa huru hata kama ni kweli wametenda kosa.
"walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo"

Unaweza kuelezea kidogo hapa mkuu. Kitu gani kingelisababisha aongee maneno yanayoweza kuondoa ushahidi wa tukio baada ya kufanikiwa kupona kifo?
Kuna uwezekano wauaji walimfuatilia mienendo yake na kumfahamu na kum mark vya kutosha.
Inawezekana, baada ya kumteka wakawa wanampiga biti kwamba siku nyingine iwe fundisho kwa wanaopenda kuingilia either mahusiano ya watu au mambo yasiyomhusu kitu ambacho kinakuwa rahisi kwa marehemu ku connect dots na kujua watu hawa watakua ni akina fulani au wametumwa na fulani (hapo wauaji wanazidi kujijengea kinga ya jata kuhisiwa)
Kitu ambacho kitapelekea vyombo vya uchunguzi vilivyomhoji kuelekeza nguvu zao ambako maelezo ya marehem yameelekeza.

Wakati kiuhalisia kifo cha marehemu kitakua kinahusiana na tukio la yofauti kabisa na maelezo ya marehemu.

Cha kufanya, wajaribu kufanya tracking katika biashara za marehemu tangu akiwa Babati hadi alipohamia Kahama.

Waangalie manunuzi aliyowahi kuyafanya na malipo yake yalikuaje.

Waangalie mazingira ya kuacha kazi yalikuwaje, na mahusiano aliyokua nayo na wateja wa bank kote alipowahi kufanyia kazi.

Waangalie mahusiano na wafanyakazi wenzake, hasa wale wafanya kazi wenzake ambao ni 'Partners in Crime' ambao huku uswahili huwa tunapenda kuwaita 'Pika pakua'. Lazima kuna issue ya mgao iwe inahusika hapo.

Nina uhakika mpaka sasa wana taarifa za kutosha kuhusiana na jinsi alivyoondoka kanisani.
Pale Kahama lazima kutakua na eneo pendwa ambalo marehemu alikua akipenda kutembelea akiwa na watu fulani, ni muhimu sana kuipitia nayo.
Nina mengi ya kiongea ila ngoja nikae kimya
 
Tunu na godfrey walianzia call center celtel,hapo sayansi,waliendelea kupanda vyeo ofcoz ola hakuna hata mkoja aliyetoka na net salary ya 4m.
Naongelea celtel ya steve torode,naimi,hilda nakajumo,fred mwanry,zephania,zuhura muro,
Yaani uwe Afisa Mahusiano Airtel ulafu usipate Salary ya 4m?? Mkuu jaribu kuwa serious basi.. Na alitoka Airtel kwenda Barclays baada ya kupandiwa dau huko
 
Back
Top Bottom