Shida inakuja hapa mnapoongea kichuki
Uislamu toka lini unabrainwash watu?
Uislamu unakataza kusoma elimu isiyo ya dini?
Hao wenye misimamo hiyo hata huo uislamu hawaujui
Ila siwanavaa kanzu na kibaragashia?
Hicho ndio kinawachafua waislamu wote