arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,806
- 3,234
Kile mlichowafanyia Chelkenge kwny ile fainali na nyie leo kimewakuta...goli la dk za mwsho linauma sana...maana hupati mda wa kuchomoaNishawahi kusema hapa , Diazi akili yake haipo haraka kama miguu yake.