Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,298
- 22,779
Njlisema tangu mapema kuhusu hii game yetu Leo itakuwa 1-1Wakuu
Leo naamini kabisa City hatpki hata pep anajua hilo tena anfield
Ni sisi kuwin au iwe draw kama basi ni 1-1 tu.
Nunez mnayemdharau kama akianza leo atafunga .
Save this.
Mmeona sasa ,ingawaje kiwango cha Leo kwa Diaz Leo hapana