HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,346
- 4,392
Sisi tumeshawapa baraka zetu mbebe kombe. Msituletee kiburi. OhoooooKaeni kama mnaweza
Wenzenu tunapoteza mechi na bado tupo kileleni
Sisi tumeshawapa baraka zetu mbebe kombe. Msituletee kiburi. OhoooooKaeni kama mnaweza
Wenzenu tunapoteza mechi na bado tupo kileleni
Aseno hataa akiwa point 30,anaongoza ligi hana uwezo wa kuchukua ubingwaSisi tumeshawapa baraka zetu mbebe kombe. Msituletee kiburi. Ohooooo
Pale unfield mlijitahidi kubana, Sasa leo mnakuja gheto. Mseme wenyewe tuwapige ngapi?
Saint Anne anzisha kikao na wenzako, tunahitaji majibu
Domo kata kwshaibukaHapo kikeleni ni sisi tumewaegesha hapo. Tukiamua kuwatoa ni ishu ya chaap sana.
Bradley amefiwatimu imecheza vizur juzi tu hapa na yeye kaiona Leo kawaacha wachezaji karibia wanne nje...ntamwelewa kwa szobo ambaye alikuwa anaumwa ila kwa Nunez na Bradley amekosea aisee
Grav's naye bado Hana Ile fluidity ya EPL Bora hata dogo Elliott
Bado anasikilizia utamu wa kileleni🤠🤠....leo zimecheza timu 2 zinazojifunza kufukuzana na City na yule mjeuri kapigwa ngumi ndoige....City akishinda mechi zake 2 tyri anakaa pale juu....ni huzuni kwakwliSaint Anne
baadae uje Kule kiumeni the gunners tuongee vizuri
Walitufungajefungaje Hawa kwny FA cup aisee🤠🤠🤠...ile mechi iliniuma sana aisee....yaani tumekosa magoli kama afu kumi hivi halafu wao wakashinda kienyejienyeji tuKweli nimeamini jogoo wa shamba hawiki mjini
This time kwenye FA lazima tuwakuneWalitufungajefungaje Hawa kwny FA cup aisee🤠🤠🤠...ile mechi iliniuma sana aisee....yaani tumekosa magoli kama afu kumi hivi halafu wao wakashinda kienyejienyeji tu
Kakojoe ulaleNaangalia anaktsid
Very unfair red card
😂 😂 2 beaten on th road by the neighbours.Hivi Klopp anasubiria Nini kufanya sub?
Au anataka hadi tufungwe?
Ha ha ha haaaa we jamaa huchelewiIla KLOPP, Acha tu Aondoke inatosha.