kwa sasa amekuwa anazunguka kila sehemu aisee,ameiprove sana .Nampenda sana Szobo, Nampenda Mac Allister, Lakini Curtis Jones amekuwa ni Most important Midfielder kwa sasa.
Hawa akina Vvd wangepumzika tu tujue moja ni mechi ya kufungwa.
Pengo la Trent wangu hiloo
Nikalale zangu mie,nikamuuguze tu Trent.
Sina wa kumuangalia uwanjani.
that's the Liverpool Way
ndugu yangu Nunez angekuwepo Tz tungesema amelogwa aisee Leo utulivu alikuwa nap wakutosha sema ndo hivyo kila kila akiona mpira umetoka kwa Nunez anageuka kuwa prime De gea
Nampenda sana Szobo, Nampenda Mac Allister, Lakini Curtis Jones amekuwa ni Most important Midfielder kwa sasa.
Huyu Bradley hiki kiwango alichokionyesha kwenye kukaba nimejikuta naomba trent ahame hii nambaHawa akina Vvd wangepumzika tu tujue moja ni mechi ya kufungwa.
Pengo la Trent wangu hiloo
Nikalale zangu mie,nikamuuguze tu Trent.
Sina wa kumuangalia uwanjani.
Huyu Bradley hiki kiwango alichokionyesha kwenye kukaba nimejikuta naomba trent ahame hii namba
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaanza sasa bila ya Salah 👇
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) ........
Et ndio Arteta anamtakaJones ameimprove sana sana. Sasa amemuelewa Klopp. Atupe consistency full january to feb. Then he will have his Song.
Jamaa anaupiga sana kwa sasa.
Nilipoona tu Golini limeanza Pazia nilijua hii mechi tayari ngumu
Hivi vitoto vilishanusa harufu ya ubingwaHuyu Bradley hiki kiwango alichokionyesha kwenye kukaba nimejikuta naomba trent ahame hii namba
Saviour bila kufunga?Mbona hivyo lakini??
Nunez two assists
Jota two chances created
Jones one goal
Gakpo one goal.
Nunez katufanyia manuva, pole pole tu atakuwa SAVIOR
YNWA
❤️Love you
Kweli dogo nguvu anazoNunez anazidi kuimarika siku hadi siku. Alipoingia tu uliona tulivyofika kwenye box kiwepesi. Kweli anakosa anakera sana ila jamaa awapo uwanjani heka heka zake zinatoa mwanya wengine kufunga.
Kabakiza padogo sana. Wataumia wapinzani. Abadili jina liwe Nunez D.
Karibu timu ya Dunia MkuuMashabiki uchwara