TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,910
- 11,306
Thank you!Hivi hii trend ya kila mchezaji kutaka kufunga hawa vijana wameitoa wapi.. Lazima kuwe na mipango kufungua njia lakin naona Jones, Domy, wao ni mashuti muda wowote aisee hapan utulivu kuweka mipango kwa uchezaji huu sare inatuita na leo...
Lazima Klopp awaambia kufunga ndio lakini mpaka pale ni sure shot...
Trent nae pasi kipofu leo ameanza tena mara 2 karibu atuchome bora VVD kaona hii hapana amemstua azidishe umakini...
Hii gemu wala haihitaji hii kasi ya 4g kwa kua hawa Newcastle wameshajikumbali...
Lazima tuwe watulivu sio hizi mbio za lu paniki kushoto kulia...
Salah na Nunez waongoze umakini kumalizia..
YNWA
Naona leadership haiko sawa uwanjani
Hawaangaliani positions
Na sloboszlai yuko off kabisa