choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,651
- 2,989
Sio suluhu tuu hata kupigwa kabisaMsipoangalia mtasuluu
Sio suluhu tuu hata kupigwa kabisaMsipoangalia mtasuluu
TAfuteni DM wa kueleweka😀😀😀...yule Endo hamna kitu paleSiku si nyingi naanza kuwa against na NUNEZ
Ova
Nitafutie yle anayejiita Saint Anne....kaja kutupigia kelele kwli kule kwny jukwaa letu....sijui wamerudi kileleni sijui nn🤠🤠🤠...Kiko wapi sasaamna timu hapa bahati yenu kikosi kama kizima majeruhi mmecheza na watoto leo.
nunezView attachment 2845393
said it.....we lost two easy pointstunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT)
Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is Bright....Mungu atatupitisha January salama kama tukisajili
Siku si nyingi naanza kuwa against na NUNEZ
Ova
😂😂😂😂Yaani hakuna mechi niliyoingoja kwa hamu kama ya leo
Niliona masaa hayafiki
Nunez
Salah
Diaz
Gakpo
Trent
Tafadhalini,
Nipo chini ya miguu yenu
Nahitaji goli mbili mbili kwa kila mmoja
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo sijui alikula nini aisee sijaamini.Dominic szoboszlai sijui kimemkuta nn
Yani leo tumekuwa Tembo tumedondoka kutoka kwenye Mti