Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,446
- 32,863
Ni huzuni sana hawana tena huo msaada tangu Fergie asepe.Man United inazidi kupoteza nyenzo muhimu zilizowahi kuipa mafanikio Timu yao.
- Alianza Howard Webb kustaafu
- Sasa ni Antony Taylor
Ikumbukwe hawa Watu wana mchango mkubwa sana katika era ya Ferguson kumpa mafanikio now wanaondoka mmoja mmoja.
Ni huzuni
YNWA