King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,318
- 5,994
Captain Marvelous atusaidie kwakweli 😁View attachment 3619175
Miaka 19 kweli huyu ?
Captain Marvelous atusaidie kwakweli 😁View attachment 3619175
Miaka 19 kweli huyu ?
Hahaha kilichomfelisha Slot ni kushindwa kudhibiti dressing room tu. Usishangae siku ukamuona yupo Man City japo Enzo Maresca jana katambulishwa. Suala la Slot ni wachezaji waliamua kumgomea. Na hili jambo la dressing room MosDef alishaliandika sana humu.Mona ,Manyanza na Bobby walikuwa wanamchambua kocha tu walikomaa naye wakati kocha mwenyewe ashajua yeye Janja Janja.
Utamsikia manyanza anasema sisi hatujui mifumo mara ball control sijui total control.
Moja akija na paragraph zake za uchambuzi wa Slot,,anaandika usiku kucha.
FSG kwa kumtimua huyu bwana nawapa big up.Kipara ni Kichaa
😂😂😂Na asepe huko PSG tu maana hio bei yake kwa kweli hapana angalau FSG labda wabadilike lakini ni kama washochomoa.Captain Marvelous atusaidie kwakweli 😁
SIjamtizama sana, game mmoja tu nimeona mchezaji wa kawaida, au ndio haikuwa siku nzuri?View attachment 3619175
Miaka 19 kweli huyu ?
😳😳😳😳Fernades wa Westham huyooo Tottenham kwa bei ya 85m...Jamaa anajua sana, ndio maana man united wanataka kumchukua yeye pamoja na fernandes westham.
😁😁😁wew acha tu. Najua mchezaji hana hiyo thamani ila kinachoniuma ni kuchukuliwa na Tottenham.😳😳😳😳Fernades wa Westham huyooo Tottenham kwa bei ya 85m...
YNWA
Na Jana pia Tottenham wamekupata jembe lingine Tonali kutoka Magpies yaaani Sir D hataki utani pale Spurs anamwaga ela.😁😁😁wew acha tu. Najua mchezaji hana hiyo thamani ila kinachoniuma ni kuchukuliwa na Tottenham.
Hongera yao.Na Jana pia Tottenham wamekupata jembe lingine Tonali kutoka Magpies yaaani Sir D hataki utani pale Spurs anamwaga ela.
YNWA
Soko bado sana. Muda upo baada ya kombe la Dunia mambo yatakua sawa.Hongera yao.
Huyu uongozi umekubali atasalia klabuni lakini ikitokea club yoyote ambayo ikotayari kumchukua naye akakubali basi atasepa tu.Rashford niaje niaje
YNWA
Basi tu ni ngumu huyo dogo kutoka United na kutua Anfield ila ana kitu aisee nilitazama mechi zake pale Catalan bado yumoooHuyu uongozi umekubali atasalia klabuni lakini ikitokea club yoyote ambayo ikotayari kumchukua naye akakubali basi atasepa tu.
sio kwamba ni mbovu tatizo ana ego,childish,selfish na laziness anaweza kukupa furaha na akakukela vibaya mno. Wew hujiulizi kwanini Barcelona wamemchukua Anthony Gordon napia kwanini hawajataka kumchukua kabisa rashford bali wameomba tena tuwape kwa mkopo. Au wew unaona rashford ana kiwango cha kumweka benchi siio tu Gordon bali raphina.Basi tu ni ngumu huyo dogo kutoka United na kutua Anfield ila ana kitu aisee nilitazama mechi zake pale Catalan bado yumooo
YNWA
Bora imekuja, ulipotea mno tukapata wasiwasi,,tujuliane hali aisee .Hahaha kilichomfelisha Slot ni kushindwa kudhibiti dressing room tu. Usishangae siku ukamuona yupo Man City japo Enzo Maresca jana katambulishwa. Suala la Slot ni wachezaji waliamua kumgomea. Na hili jambo la dressing room MosDef alishaliandika sana humu.
The MoNA alishawahi kuandika kuhusu chokochoko za Salah. Na zile chokochoko ndio ziliharibu kabisa team, wachezaji wanaposses vizuri mpira lakini wakipokonywa walikuwa hawataki kuhangaika.
Ulikuwa huoni wana control mpira ila kukaba walikuwa wanazembea na mfumo wake ulikuwa unamhitaji DM kama Fabinho ? Jiulize kwanini msimu wa kwanza alianza vizuri lakini baada ya kuanza transition ya mfumo na kuanza kujifanya naye ni mkubwa lakini kumbe wachezaji walikuwa wakubwa kuliko yeye. Alianza TAA kuwa anakasirika akifanyiwa sub na kama umavyojua TAA alishakuwa World class player ikaja kwa Salah pale ndio ikaleta noma zaidi.Bora imekuja, ulipotea mno tukapata wasiwasi,,tujuliane hali aisee .
Kocha wenu ameondoka angalau tunapumua sasa aisee
Ametutesa mno
Mona mwenyewe dakika za mwisho alianza kumkataa .
Sasahivi mnamsingizia Salah sijui dressing room.
Zamani zilikuwa blah blah oh ball control sijui hataki harsh football inachosha wachezaji.
Hamna kocha muleUlikuwa huoni wana control mpira ila kukaba walikuwa wanazembea na mfumo wake ulikuwa unamhitaji DM kama Fabinho ? Jiulize kwanini msimu wa kwanza alianza vizuri lakini baada ya kuanza transition ya mfumo na kuanza kujifanya naye ni mkubwa lakini kumbe wachezaji walikuwa wakubwa kuliko yeye. Alianza TAA kuwa anakasirika akifanyiwa sub na kama umavyojua TAA alishakuwa World class player ikaja kwa Salah pale ndio ikaleta noma zaidi.