Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

sio kwamba ni mbovu tatizo ana ego,childish,selfish na laziness anaweza kukupa furaha na akakukela vibaya mno. Wew hujiulizi kwanini Barcelona wamemchukua Anthony Gordon napia kwanini hawajataka kumchukua kabisa rashford bali wameomba tena tuwape kwa mkopo. Au wew unaona rashford ana kiwango cha kumweka benchi siio tu Gordon bali raphina.
Kwangu ukinipa Gordon na Rashford wa Catalan nitamchukua Rashford wa Catalan....kuhusu wao Barca kumchukua Gordon na kumuacha Rashford inaweza kua na sababu nyingi moja yapo ni wao kuamini kuna nafasi nyingine ya kumpata kwa mkopo hivyo wakaomae na hio na ukizingatia Barcelona hawapo njema sana ki pesa sokoni.
Nwa muda utasema.
All the best kwa Gordon tuliwai kuonyesha nia Howe akatugomea enzi za Klopp hivyo dogo anaji uwezo na pale Catalan ni mahala sahihi kwake.

YNWA
 
Wakuu wafautao ma home boys wetu wapo bila team kwa sasa je yupo anaetufaa kuleta seniority kikosini 😂😂
1) Salah
2) Coutinho
3) Stering
4) Nathaniel
5) Danny Ings
6) Gini
7) Fabio Borini
8) Harry Wilson
10) Lazar Makorvic
11) Alberto Moreno
12) Jordon One
13) Ryan Kent
14) Shie Ojo
15)Ovie Ejaria
17) Bobby Adekanye

YNWA
 
Kwangu ukinipa Gordon na Rashford wa Catalan nitamchukua Rashford wa Catalan....kuhusu wao Barca kumchukua Gordon na kumuacha Rashford inaweza kua na sababu nyingi moja yapo ni wao kuamini kuna nafasi nyingine ya kumpata kwa mkopo hivyo wakaomae na hio na ukizingatia Barcelona hawapo njema sana ki pesa sokoni.
Nwa muda utasema.
All the best kwa Gordon tuliwai kuonyesha nia Howe akatugomea enzi za Klopp hivyo dogo anaji uwezo na pale Catalan ni mahala sahihi kwake.

YNWA
Leteni £40m mumchukue Rashford.
 
Wakuu wafautao ma home boys wetu wapo bila team kwa sasa je yupo anaetufaa kuleta seniority kikosini 😂😂
1) Salah
2) Coutinho
3) Stering
4) Nathaniel
5) Danny Ings
6) Gini
7) Fabio Borini
8) Harry Wilson
10) Lazar Makorvic
11) Alberto Moreno
12) Jordon One
13) Ryan Kent
14) Shie Ojo
15)Ovie Ejaria
17) Bobby Adekanye

YNWA
Hapa mchezaji ni salah tu mngebakia kwenye gegen pressing angendelea kudelivery vizuri tu.
 
Kama Diomande kawachagua PSG basi wapo wengine hawavumi sana na kipaji kipo kama huyu dogo miaka 19 tu anatumia miguu miwili na bei sio kubwa sana. Anacheza winga zote na kati pia jina lake ni Said El Mala

Player Profile: Said El Mala
Approx Price: £40m
Age: 19 (Aug 26, 2006)
Height: 6’0″ (183cm)
Birthplace: Krefeld, Germany
Club: FC Koln
Position: Left-Winger
Foot: Right
2025/26 Goals/Assists: 13/5

Mwingine ambae bei yake sio kubwa ni Matias Fernandez-Pardo.
Sifa zake ni kama zifuatazo

Player Profile: Matias Fernandez-Pardo
Approx Price: £60m
Age: 21 (Feb 3, 2005)
Height: 6’0″ (183cm)
Birthplace: Brussels, Belgium
Club: Lille
Position: Centre-Forward
Foot: Right
2025/26 Goals/Assists: 8/7

YNWA
 
Wakuu wafautao ma home boys wetu wapo bila team kwa sasa je yupo anaetufaa kuleta seniority kikosini 😂😂
1) Salah
2) Coutinho
3) Stering
4) Nathaniel
5) Danny Ings
6) Gini
7) Fabio Borini
8) Harry Wilson
10) Lazar Makorvic
11) Alberto Moreno
12) Jordon One
13) Ryan Kent
14) Shie Ojo
15)Ovie Ejaria
17) Bobby Adekanye

YNWA
Jordan Henderson – Nahodha wa Liverpool kwa miaka mingi. Alikuwa sauti ya dressing room, aliunganisha kikosi na kuongoza timu kutwaa UEFA Champions League, Premier League, FA Cup na mataji mengine. Huyu ndiye mfano halisi wa seniority.
 
Jordan Henderson – Nahodha wa Liverpool kwa miaka mingi. Alikuwa sauti ya dressing room, aliunganisha kikosi na kuongoza timu kutwaa UEFA Champions League, Premier League, FA Cup na mataji mengine. Huyu ndiye mfano halisi wa seniority.
Manyanza long time comrade.
😀😀😀Aaa Henderson atulie alipo. Boy has attitude issues.

VVD na Allison wanatosha kuwaongoza Hawa vijana wetu

Mkuu dirisha mwaka huu ngumu na hii kombe la Dunia

YNWA
 
Hapa mchezaji ni salah tu mngebakia kwenye gegen pressing angendelea kudelivery vizuri tu.
400k plus kwa wiki ndugu yangu na hataki Wala kusikia kukaa benchi ni shinda ndugu.
Klabu kubwa nyingi hua mchezaji akishafika umri wa 31 anapewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja na mkataba unakua based na performance na availability ya replacement sokoni hivyo Salah alitakiwa apigiwe bei msimu wa 2024 2025 ulivyoisha tu maana kwa mfumo wa Liverpool ingefika mahala tu Moyo unataka Mwili unashindwaa.

YNWA
 
Manyanza long time comrade.
😀😀😀Aaa Henderson atulie alipo. Boy has attitude issues.

VVD na Allison wanatosha kuwaongoza Hawa vijana wetu

Mkuu dirisha mwaka huu ngumu na hii kombe la Dunia

YNWA
Mkuu nipo salama kabisa natumaini na wewe hivyo hivyo. Seniority kwa Captain Hendo inamfaa sana.
Dirisha la usajili ni gumu kwa kweli nawaza nafasi za RB, DM na CB. Vipi MosDef hajaingia humu kutuletea habari za ndani kabisa ?
 
Hapa mchezaji ni salah tu mngebakia kwenye gegen pressing angendelea kudelivery vizuri tu.
Likocha limekuja limevuruga timu ,limeacha timu imeharibika, limemfukuza mchezaji mvumilivu mkongwe kama Salah huku halina hata mbadala wake.
Slot alaaniwe popote alipo.
 
Jordan Henderson – Nahodha wa Liverpool kwa miaka mingi. Alikuwa sauti ya dressing room, aliunganisha kikosi na kuongoza timu kutwaa UEFA Champions League, League, FA Cup na mataji mengine. Huyu ndiye mfano halisi wa seniority.
Mi naunga mkono hoja
Henderson arudi tu
Ni mvumilivu na anajua uongozi.

Slot limefukuza wachezaji wote wakongwe.
Salah aliyebakia kutrain watoto ,kocha wenu akamfukuza
Dah
Ila huyu jamaa,
Aliyetuletea Slot akamatwe popote alipo.
 
400k plus kwa wiki ndugu yangu na hataki Wala kusikia kukaa benchi ni shinda ndugu.
Klabu kubwa nyingi hua mchezaji akishafika umri wa 31 anapewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja na mkataba unakua based na performance na availability ya replacement sokoni hivyo Salah alitakiwa apigiwe bei msimu wa 2024 2025 ulivyoisha tu maana kwa mfumo wa Liverpool ingefika mahala tu Moyo unataka Mwili unashindwaa.

YNWA
Shida haikuwa Salah kukaa bench,
Shida anakaa bench
Slot anaanza na ndugu zake anaowataka yeye, hata waboronge vipi, akina Gakpo.
Yaani yule Baba mimi sina hamu naye hata kidogo.

Wachezaji amenunua matapeli watupu🙌
 
IMG-20260704-WA0043.jpg
 
Shida haikuwa Salah kukaa bench,
Shida anakaa bench
Slot anaanza na ndugu zake anaowataka yeye, hata waboronge vipi, akina Gakpo.
Yaani yule Baba mimi sina hamu naye hata kidogo.

Wachezaji amenunua matapeli watupu🙌
Muache Slot ni bonge la Kocha kilichomshinda ni kile kiburi cha kubeba EPL akataka kujiona naye ni top akasahau kuna wachezaji pale wana influence kubwa mbele ya maboss na mashabiki. Kumbuka alikuwa na mabifu na watoto wote wa Kiingereza TAA, Elliott, Quansah na Jones.
Quansah kosa kidogo tu alimnyanyapaa mpaka akauzwa na Elliott akatolewa kwa mkopo.

Akaanza kuleta za kuleta mpaka kwa Salah hapo ndipo wachezaji wakaamua kumsusia kabisa, akabaki Szoboszlai tu, fikiria hata Alison Becker alijifanya kuumwa alikuwa hataki kucheza chini ya Slot.
 
Likocha limekuja limevuruga timu ,limeacha timu imeharibika, limemfukuza mchezaji mvumilivu mkongwe kama Salah huku halina hata mbadala wake.
Slot alaaniwe popote alipo.
Hiyo kazi ya recruitment sio ya Slot ni ya Hughes. Slot alikuwa anashughulika na masuala ya uwanjani tu na Hughes ndio alikuwa anahusika na kuuza au kununua wachezaji
 
Likocha limekuja limevuruga timu ,limeacha timu imeharibika, limemfukuza mchezaji mvumilivu mkongwe kama Salah huku halina hata mbadala wake.
Slot alaaniwe popote alipo.
Makocha wa uholanzi mashaulini monki ni matapeli sana mie iliniumiza 10hag na bichwa lake ka fuvu la dagaa kumsajili footwork onana na kumuondoa david degea. Huku likocha halieleweki mfumo linaoutumia yaani sitamsahau.
 
400k plus kwa wiki ndugu yangu na hataki Wala kusikia kukaa benchi ni shinda ndugu.
Klabu kubwa nyingi hua mchezaji akishafika umri wa 31 anapewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja na mkataba unakua based na performance na availability ya replacement sokoni hivyo Salah alitakiwa apigiwe bei msimu wa 2024 2025 ulivyoisha tu maana kwa mfumo wa Liverpool ingefika mahala tu Moyo unataka Mwili unashindwaa.

YNWA
Sema jamaa mfumo wa slot ndio umemwaribia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom