King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,318
- 5,994
Kwakweli ila nina imani Newcastle wamejifunza. Wew si unaona sisi manchester united tunachofanya ni kumalizana na mchezaji pamoja na wakala wake ndio tunaenda kumalizana na club ya mchezaji hii imetusaidia sana mfano unakumbuka kwa mbeumo. Kuhusu gapko, jamaa anajua sana. Ila siku zote wenye maamuzi ni wamiliki na pamoja na michango ya mashabiki.Newcastle bhana kama ilivyotokea kwa Hugo na huyu Munoz wembe ni ule ule... Newcastle walishamalizana kabla ya vipimo vya afya dogo akasema apewe masaa 24 hivi ndio atasaini then wakaja Liverpool kumaliza maneno. Newcastle hawakuelewa mapema kwamba Liverpool alishaongea na wakala wajuzwe hali kama Ile ikitokea.
Tushasajili winga mmoja hakua na msimu mzuri sanaa upande wa magoli na assist lakin ana kipaji na chini ya Iraola nategemea kuona namba zake zikipanda. Dogo yupo versatile sana anacheza kati, winga zote .... Angalau sasa Diaz anapata mridhi sahihi. Je mnasema aje Gapko asepe zake ama kwa kua pale kuna Chiesa, Munoz na Ngumoho.
YNWA