Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Newcastle bhana kama ilivyotokea kwa Hugo na huyu Munoz wembe ni ule ule... Newcastle walishamalizana kabla ya vipimo vya afya dogo akasema apewe masaa 24 hivi ndio atasaini then wakaja Liverpool kumaliza maneno. Newcastle hawakuelewa mapema kwamba Liverpool alishaongea na wakala wajuzwe hali kama Ile ikitokea.
Tushasajili winga mmoja hakua na msimu mzuri sanaa upande wa magoli na assist lakin ana kipaji na chini ya Iraola nategemea kuona namba zake zikipanda. Dogo yupo versatile sana anacheza kati, winga zote .... Angalau sasa Diaz anapata mridhi sahihi. Je mnasema aje Gapko asepe zake ama kwa kua pale kuna Chiesa, Munoz na Ngumoho.


YNWA
Kwakweli ila nina imani Newcastle wamejifunza. Wew si unaona sisi manchester united tunachofanya ni kumalizana na mchezaji pamoja na wakala wake ndio tunaenda kumalizana na club ya mchezaji hii imetusaidia sana mfano unakumbuka kwa mbeumo. Kuhusu gapko, jamaa anajua sana. Ila siku zote wenye maamuzi ni wamiliki na pamoja na michango ya mashabiki.
 
Heat map for Munoz
View attachment 3610443
He plays in both right and left flanks, he is more comfortable on the left side as a blasting winger.

Important to note he is 22 yrs old Spain international player. Yupo kikosi Cha kombe la Dunia.
Has passed through academy of both Barcelona and Real Madrid.
Last season he was 3rd fastest player covering 35.46 km/h in La Liga.
Attempted take ons 215 was third with Vinicious at 241 and Yamal at 285.

With this boy we have a player guys. under Iraola he will raise💥💥💥.

YNWA

Captain umeshaanza mapema 😂

Asije kugeuka Darwin Nunez 😀
 
1000377942.jpg

Mkeka tayari.
Ratiba ya ligi , EPL msimu ujao wa 2026 2027.
Tunaanza ugenini Magpies.

YNWA
 
Kwakweli ila nina imani Newcastle wamejifunza. Wew si unaona sisi manchester united tunachofanya ni kumalizana na mchezaji pamoja na wakala wake ndio tunaenda kumalizana na club ya mchezaji hii imetusaidia sana mfano unakumbuka kwa mbeumo. Kuhusu gapko, jamaa anajua sana. Ila siku zote wenye maamuzi ni wamiliki na pamoja na michango ya mashabiki.
Newcastle pesa ipo ila bado hawajapata proper negotiators kumaliza haya mambo kimya kimya na kwa wakati ingawa wachezaji wengi wazuri wanataka klabu inayopambania makombe na Newcastle hizo levo bado bado.
Kuhusu Gapko anajua ila kujua kwako bado kabisa maana katika nafasi 30 anafunga 2 au 1 huyo ni mzigo kwetu ni wakati asepe tu akiwa na soko hivi.

YNWA
 
Newcastle pesa ipo ila bado hawajapata proper negotiators kumaliza haya mambo kimya kimya na kwa wakati ingawa wachezaji wengi wazuri wanataka klabu inayopambania makombe na Newcastle hizo levo bado bado.
Kuhusu Gapko anajua ila kujua kwako bado kabisa maana katika nafasi 30 anafunga 2 au 1 huyo ni mzigo kwetu ni wakati asepe tu akiwa na soko hivi.

YNWA
Ndio hapo Newcastle wanapofeli.
 
Ndio hapo Newcastle wanapofeli.
Bila wasimamizi wa ligi kuweka utaratibu wa klabu kutumia pesa inayozalishwa na klabu yenyewe walahi Hawa Newcastle tusingewagusa sokoni na wenyewe wanaamini baadhi ya vipengele vimewekwa kwa ajili Yao kwa timu kubwa kuhofia pesa za mafuta🤓🤓🤓🤓na utaeelewa ukimtazama alipokua Manchester City miaka hio kabla ya ujio wa Mansour.

YNWA
 
Diamonde loading💣💣💣. Boy is a time bomb.

Lakin ndugu zangu hivi huyu dogo ana hio value ya Euro €120m🥸🥸🥸🥸🥸🤓🤓🤓🤓🤓🤓.

YNWA
 
Bila wasimamizi wa ligi kuweka utaratibu wa klabu kutumia pesa inayozalishwa na klabu yenyewe walahi Hawa Newcastle tusingewagusa sokoni na wenyewe wanaamini baadhi ya vipengele vimewekwa kwa ajili Yao kwa timu kubwa kuhofia pesa za mafuta🤓🤓🤓🤓na utaeelewa ukimtazama alipokua Manchester City miaka hio kabla ya ujio wa Mansour.

YNWA
Manchester city sijui tu kwanini mpaka sasa hawaja mchukulia hatua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom