Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,525
- 235,264
Kajua tututesa huyu Babs🙌Hongera maana mlikua hamna kocha.
Bora aende
Kajua tututesa huyu Babs🙌Hongera maana mlikua hamna kocha.
Mchukueni kama vipi😃AAAH AAAH 😡😡😡😡😡 KWA NINI SASA?
😡😡😡😡
Liverpool haina mchezajj mwenye uwezo kama SalahSalah kipengele hawezi kukaa benchi na atulie ni pale moyo unataka Mwili unagoma......amekua mtumishi mwema wakati wote alipotufikisha inatosha wengine waanzie alipoishia.
YNWA
Ukimuona unaweza sema yupo siriazi
MchukueniWanetu mmemkimbiza Slot. Nyinyi siyo timu kariba ya Chelsea ila naona mnaelekea huko. Ngoja tujionee
Aende na Baba yakeGakpo itakuaje?
Hatumtaki piaMchukueni
Hasira za nini lakiniMchukueni
Nothing is forever miss Liverpool....Liverpool haina mchezajj mwenye uwezo kama Salah
Angebakia msimu ujao ili kocha apate muda wa kutafuta mbadala wake.
Yaani Salah anaondoka Liverpool Kwa sababu ya likocha lijinga,inaniuma sana🥹
Kipara Ten Haag wanae wote aliowatoa Uholanzi akawaweka United aliwaditch alipopigwa redundancy. Kipara Slot sioni akiondoka na yoyoteAende na Baba yake
Slot tetesi Ac Milan wanamtaka....asepe nae Kule 🤓🤓Gakpo itakuaje?
Nendeni mkamchukue yule kocha Bournemouth, yule anafit aina ya uchezaji wenu atawafikisha mbaliSlot tetesi Ac Milan wanamtaka....asepe nae Kule 🤓🤓
YNWA
Muda utasema. Kambi yake ishafuatwa na wawikilishi wa Liverpool tuwe na subira.Nendeni mkamchukue yule kocha Bournemouth, yule anafit aina ya uchezaji wenu atawafikisha mbali
Enrique huwezi kumchomoa pale, sisi maboss wetu walimkataa Enrique kabla ajaenda PSG cheki Sasa wanajutaMuda utasema. Kambi yake ishafuatwa na wawikilishi wa Liverpool tuwe na subira.
Tetesi ni kwamba wanamtazama pia Enrique pale PSG.
YNWA
Ila Andoni Iraola sio proven coach, anafundisha soka zuri ndio lakini je ni kocha wa makombe/Mataji au ni special tu Kwa hizo Midtable team au tubet km Arsenal na Leverkusen Kwa ARTETA na Alonso na kumpa muda?? Liverpool isijempalia km huyo slot, angalau ht slot alichukua vikombe 2/3 uko farmers league Uholanzi akaonekana....
Lakini Kuna tetesi zingine, zinadai Liverpool wanaombea Luis Enrique wa PSG ya Farmers league Ufaransa achukue UEFA pili mfululizo na PSG hivyo iwe rahisi akihitajika na vilabu vingine vikubwa Ulaya km Liverpool, kwasbbu kwenye Ligue1 PSG ni kama ashakinai Hana mpinzani mwenye nguvu kule...