Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mlifurahi siku mlipoifunga Arsenal ya majeruhi tukawaambia mmebahatisha kafaulo mkasema sana.

Kiko wapi.
 
🤣🤣🤣 Nawakumbusha tu weekend ijayo mnacheza na Aston Villa halafu mechi inayofata mnakutana na Man City.
Kwenye press conference baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Brentford Amne Slot ameomba dirisha dogo aongezewe washambuliaji wengine watatu.
😄
 
Mlifurahi siku mlipoifunga Arsenal ya majeruhi tukawaambia mmebahatisha kafaulo mkasema sana.

Kiko wapi.
Sasa mbona nyie hamkutufunga? Na pia mna miaka mingapi hamjachukua kombe? 🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣 Nawakumbusha tu weekend ijayo mnacheza na Aston Villa halafu mechi inayofata mnakutana na Man City.
Kwenye press conference baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Brentford Amne Slot ameomba dirisha dogo aongezewe washambuliaji wengine watatu.
Baada ya hizo mechi 2 za Aston Villa na Manchester City kuisha Liverpool wasahau kuhusu kuikamata Arsenal.
 
Kuna hatari ya kuja kufungwa mechi 10 mfululizo iwapo huyu kichwa ndoo ataendelea kuboresha kipara chake badala ya kuboresha mbinu zake.
 
Kwenye mechi tisa msimu huu tumeshapoteza idadi sawa na mechi tulizopoteza msimu mzima uliopita!
 
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
 

Attachments

  • Screenshot_20251026_212452_FotMob.jpg
    Screenshot_20251026_212452_FotMob.jpg
    15 KB · Views: 13
Anachokifanya Slot ni kama alivyokuwa akifanya klopp kwa bob. Baada ya kuwa flop aliendelea kumwamini huku alishindwa kumtoa msaada kwa timu, ndivyo ilivyo kwa Mo Salah kwa sasa.
Hana msaada lakini yupo tu kwenye starting 11.
Wengine sio wavumilivu, tutaenda kutafuta faraja kwa majirani. Tushaanza kuonekana kama united.
 
Mnarudi mlipotoka rasmi kukaa miaka 20 bila ubingwa wa epl😁😁
 
Kuna hatari ya kuja kufungwa mechi 10 mfululizo iwapo huyu kichwa ndoo ataendelea kuboresha kipara chake badala ya kuboresha mbinu zake.
Tatizo lipo kule nyuma mkuu....Van dijk ameshakwisha...kumuongezea mkataba wa mahela mengi ilikuwa ni ufala sana....mngeachana naye na kuchukua vitasa vipya viwili kwa Hela ya Isak.... Frimpong mmepigwa...mngetumia Hela yake kuchukua yule beki 2 wa Inter....mna tatizo kubwa kuliko mwalimu.....huwezi ku compete ukiwa unaruhusu magoli 2 na zaidi Kila mechi....hutashinda goli tatu Kila mechi....fix ur defence
 
N kweli tupo kwenye machafuko, ila hii haizuii kuwacheka nyie liverloser 😂

Jana mmelambwa tena 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom