Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20251110-123208_Facebook.jpg
 
Anachokifanya Slot ni kama alivyokuwa akifanya klopp kwa bob. Baada ya kuwa flop aliendelea kumwamini huku alishindwa kumtoa msaada kwa timu, ndivyo ilivyo kwa Mo Salah kwa sasa.
Hana msaada lakini yupo tu kwenye starting 11.
Wengine sio wavumilivu, tutaenda kutafuta faraja kwa majirani. Tushaanza kuonekana kama united.

Mule mule MKUU angeakumbuka hata ishu ya umri tu umri wa Mo Salah umeenda Sana nadhani ana miaka 34 huyo Mo Salah kama kumbukumbu zangu zipo sahihi
 
Wapii Izak hahaha Wapi Allison kipa la duniaaa hahaha haha wahuni wanachomeka tuuu hahaha
 
Hamna kocha humo, kama FSG wanasubiri miujiza wakifikili slot ni klopp itakula kwao, atatushusha daraja hunyu mbwaaa 🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom