Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,791
- 4,679
😂😂😂 Kichwa mviringo hamna kocha mle bora tumrudishe Klopp wetu🤣🤣🤣 Kichwa mviringo na Ten Hag tofauti yao ni ukubwa tu wa makomwe.
😂😂😂 Kichwa mviringo hamna kocha mle bora tumrudishe Klopp wetu🤣🤣🤣 Kichwa mviringo na Ten Hag tofauti yao ni ukubwa tu wa makomwe.
Wametunguliwa bwana🤣🤣🤣....Liva watafute beki wa kueleweka....vngnevyo msimu huu wataaibika sana....bichwa ndonga Slot watu washamjulia....mechi ijayo na Manunu....kama naliona teka mabao ngongoti la Manunu🤣🤣🤣 Kichwa mviringo na Ten Hag tofauti yao ni ukubwa tu wa makomwe.
Hakuna kuondoka😀😀...aondoke aende wapi....afundishe magalasa yake aloyasajili mpk yaelewane ndo watuachie timu yetu....vngnevyo hakuna kuondokaSlot out
🤣🤣🤣 Kwenye dirisha la usajili kichwa mviringo alikua anaomba aongezewe tu washambuliaji, baada ya kusajiliwa Isak na kufikisha jumla ya washambuliaji 6 Slote akaomba aongezewe fowards wengine watatu.Hii timu itapoteza na kusare mechi nyingi sana.Ni kwasababu inafungika kirahisi sana.Leo ni mchezo wa 11 wa kimashindano so far na tumeruhusu goli 14.Kwa wastani ni lazima kuruhusu goli kila mchezo.Timu yenye ambition na bingwa haiwezi kuwa rahisi hivyo kufungwa goli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwenye dirisha la usajili kichwa mviringo alikua anaomba aongzewe tu forwards, baada ya kusajiliwa Isak na kufikisha jumla ya washambuliaji 6 Slote akaomba aongezewe fowards wengine watatu.
Na nyumbu watakuja kuwala kama kawaHao Chelsea na Manure wasije kushangaa tu kuwa nini kimewakuta
Mlikuwa mnamlinganisha Caicedo na yule kiungo wenu mmeona utofauti hii ni mechi ya pili anafunikwa na kugaragazwaKipara cha Slot kichunwe ngozi haraka sana
Hivi mlikuwa hamuoni hivi wakati mnasajili nyinyi si ndio mlikuwa mnambeza Nunez Leo amegeuka wa maana? Luis Diaz yeye ndio alitaka kusepa kocha wenu angefanyaje? Wakati mnawasajili Isak, Wirtz, Ekitike na frimpong mliwasifia sana management yenu vipi mbona Sasa mnapiga keleleUnauza mtu kama Nunuz msimu aliyesaidia mabao 28 kwa dk 45 za kila game . Then Luis Diaz msumbufu mwenye kufungua nafasi ... unakuja kusajiri watu wasioeleweka team haiko balance kabisa . Msimu huu tutabondwa sana
Kwani mkuu umesahau haiba yetu sisi waswahili .Hivi mlikuwa hamuoni hivi wakati mnasajili nyinyi si ndio mlikuwa mnambeza Nunez Leo amegeuka wa maana? Luis Diaz yeye ndio alitaka kusepa kocha wenu angefanyaje? Wakati mnawasajili Isak, Wirtz, Ekitike na frimpong mliwasifia sana management yenu vipi mbona Sasa mnapiga kelele