Wanafikiri kila siku Kuna miracles.....na Jana waliongezewa dakika nyingi kama kawaida yao wanaposaka ushindi wakaishia kufungwa wao😂Zile late winners zilikuwa dalili kuwa hamko mbali na kupoteza mechi.
Ningekuwa nabet, msimu huu nampa kombe tetea au pep ila sio liverkuku.
Ulianza vzuri ila ukaja kuharibu kwny Frimpong....hyu ni mchezaji asiyefaa ligi kuu....Kuna siku utakuja kuelewa nnachosema....Liverkuku watafute namba 2 mwingine acheze na Bradley.....Mohammed Salah mshahara wa £400000 unamtia kiburi sasa....anacheza kibishoo sana sasahivi....Liverpool waombe wasipate majeruhi marefu mpk January upande wa mabeki...vngnevyo kikiwalamba sasahivi watajuta....Wirtz €150m ....
Hata huyu isak kwa bei ile over £100m mtakuja kumkataa hapa,,,,hana bei hiyo , pia msisahau ni injury prone.... hawezi kucheza mechi 12 mfufulizo .....
Yetu macho !
Kerkez nae hamna kitu ! Ekitike na Frimpong ndio majembe
Bora walau frimpong mkuu... !!Ulianza vzuri ila ukaja kuharibu kwny Frimpong....hyu ni mchezaji asiyefaa ligi kuu....Kuna siku utakuja kuelewa nnachosema....Liverkuku watafute namba 2 mwingine acheze na Bradley.....Mohammed Salah mshahara wa £400000 unamtia kiburi sasa....anacheza kibishoo sana sasahivi....Liverpool waombe wasipate majeruhi marefu mpk January upande wa mabeki...vngnevyo kikiwalamba sasahivi watajuta....
Kwamba umeanza kushabikia ball Jana au?Kumbe there are many haters waiting for our downfall?
Ok, let them wait
Kingereza kingiii kichwani mweupeee.I'm not happy with our performance
Alikwambia kabla ya mechi?Leo Wirtz anafunga goal lake la kwanza
Galatasaray walijipanga!!!Hii timu imeshakifia