Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG-20250831-WA0102.jpg
 
ushindi wa leo mzuri sana maana umewakata kidomodomo arsenal wamezoea kuja anfield kutafuta draw halafu wanavimba mtaani


ila naomba nielekezwe kama mtoto wa darasa la tatu..... majukumu ya wirtz ni yapi hasa? na mpaka sasa hv tunarate vp utekelezaji wake katika hayo majukumu yake
🤣🤣🤣🤣Leo kitaa kumepoa sana aisee maana wengi wa Arsenal walikua na matokeo mfukoni na ilikua wazi maana kama Newcastle tu wakiwa pungufu Hali ilikua vile sasa kwa Nini Arsenal wasiote ushindi 🤣🤣

Florian ni kiungo mchezeshaji. Hajapata kuelewana vyema na wenzie hivyo apewe muda atakaa sawa kama ulivyoona leo Kerkez amejitahidi kiasi Fulani.

YNWA
 
🤣🤣🤣🤣Leo kitaa kumepoa sana aisee maana wengi wa Arsenal walikua na matokeo mfukoni na ilikua wazi maana kama Newcastle tu wakiwa pungufu Hali ilikua vile sasa kwa Nini Arsenal wasiote ushindi 🤣🤣

Florian ni kiungo mchezeshaji. Hajapata kuelewana vyema na wenzie hivyo apewe muda atakaa sawa kama ulivyoona leo Kerkez amejitahidi kiasi Fulani.

YNWA
Kelele zilikuwa nyingi sana, tukaamua kuwaacha wapige kelele zao. Walitutisha na set pieces na kona zao 😂, kumbe hakuna kitu cha maana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom