BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,900
- 11,699
Najaribu kung'amua tu wanamtumia position gani haswaa.Babu Milner msimu huu anavaa jezi namba 20 kwa heshima ya Jota 💥
YNWA
Najaribu kung'amua tu wanamtumia position gani haswaa.Babu Milner msimu huu anavaa jezi namba 20 kwa heshima ya Jota 💥
YNWA
Szoboslai ndio anapochezaga hapo?Kosi la kumtemesha Arsenal nyongo hili.
View attachment 3460407
He's a makeshift player, can slot in any positionNajaribu kung'amua tu wanamtumia position gani haswaa.
Wanangu Man city na kipara watafute code mpya hii ya sasa imeshakuwa decoded.


Kipara kosa kubwa alilofanya na naamini atalijutia sana ni kuendelea kubaki Epl baada ya Man City kufanikiwa kubeba Uefa.
Yani hiki kitu kinanishangaza sana. Miaka miwili iliyopita kila mechi City itakayocheza mtu unajuwa wazi kwa uhakika itashinda. Mambo hubadilika sana.Kipara kosa kubwa alilofanya na naamini atalijutia sana ni kuendelea kubaki Epl baada ya Man City kufanikiwa kubeba Uefa.
Huko anakoelekea hakuna rangi ataacha kuona.
Wazungu wanamsemo wao kwambaKipara kosa kubwa alilofanya na naamini atalijutia sana ni kuendelea kubaki Epl baada ya Man City kufanikiwa kubeba Uefa.
Huko anakoelekea hakuna rangi ataacha kuona.
He is a real good player the Reds spirit live in him eventhough he's on another clubBabu Milner msimu huu anavaa jezi namba 20 kwa heshima ya Jota 💥
YNWA
Ameblock shot kama tatu zenye madharaMilos Kerkez safi sana kwa hiki kipindi cha kwanza