Naona ikielekea huko hasa defense ya Liver ikishikilia bomba mwanzo mwishoHii mechi iishe droo tu
Yule alitakiwa aende Saudi Pro League baada ya msimu wa 2023/2024 akatawale na huko huku akivuna mipesa mingi...Kipara kosa kubwa alilofanya na naamini atalijutia sana ni kuendelea kubaki Epl baada ya Man City kufanikiwa kubeba Uefa.
Huko anakoelekea hakuna rangi ataacha kuona.
Livepoor waogope sana na inabidi uwaheshimu sana ao jamaa wanacheza kimkakati sana ukiskia kucheza kibigwa ndio uko sasa hakuna bwebwe nyingi Arsenal kapiga Kona kibao lakini kaondoka patupu Liverpool wakichanga karata zao vizuri wanabeba tena ubigwaNa strikers zenu hizo ovyo ovyo za kuunga kwa gundi ya soltape .Mara Ekitike mara leka Dutigite ,aisee Chunga sana
Kalete timu yako mkuuNa strikers zenu hizo ovyo ovyo za kuunga kwa gundi ya soltape .Mara Ekitike mara leka Dutigite ,aisee Chunga sana
Arsenal wameshindwa kushikilia bombaNaona ikielekea huko hasa defense ya Liver ikishikilia bomba mwanzo mwisho