Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

FB_IMG_1756234945086.jpg

😂😂😂
 
Vs Arsenal tegema mid block game kutokwa Arsenal, kama hakutatokea (red card on either side) will be a good game. Less physic game just tactical battle. So far Arsenal has balanced team over LFC, will be different test game from them. If we manage to beat them while are in disjointed mode, hopefully we can retain our Crown.

Ynwa
 
Liverpool mmejipanga kwa set pices? tuna uwezo wa kushinda kwa fine margins, inshort tunashinda kivyovyote, this time around we are very confident as arsenal fans, tunaweza kushinda mechi yoyote mahali popote.
Karibuni
 
Shida kubwa ya arsenali ni consistency ya ushindi. Wanaweza wakaanza vizur sanaa ila wakaja kupoteana kipindi ambacho walitakiwa kufanya vizur..

Kinachokosekana ni winning spirit hakuna kwa wachezaji hakuna watu ambao wataenda na kuamua kuipambania timu kufa na kupona,

Hii spirit iko ndani ya liver, laiti tungekuwa na resource za kutosha kutoka kwa wamiliki kipondi chote cha klop nakuambia tungekuwa ni wakushinda ligi back to back
Hizo enzi zimeshapita, hayo mambo yalikuwa yanaletwa na kikosi kifinyu, kwa sasa ni full depth, msimu huu hata aumie Saka / Ø huwezi kuona shabiki wa Arsenal akilalamika, anapigwa yoyote, No excuse
 
🚨 Dani Carvajal expects to keep Trent Alexander-Arnold OUT of the Real Madrid starting XI after returning to full fitness, reports The Athletic.

Trent or Carvajal… who should start? ⤵️
 
Liverpool mmejipanga kwa set pices? tuna uwezo wa kushinda kwa fine margins, inshort tunashinda kivyovyote, this time around we are very confident as arsenal fans, tunaweza kushinda mechi yoyote mahali popote.
🤣🤣🤣🤣 Arsenal hamjawai kua na changamoto mzunguko wa kwanza wa Ligi ... nyie hua ni pale mwezi wa pili mpaka wa Tano ndio hua mnapata sana shinda..ngoja tuone msimu huu hamna pa kujificha Arteta kapewa wachezaji mapema aliowataka kuimarisha kikosi.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom