kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,121
- 15,685
Wirtz €150m
Wewe Crystal Palace ulimfunga???? Si aliwatungua Community Shield 😂😂😂😂kenge ni kikundi cha madalali hamna timu leo tumeshuhudia takataka pro max
Shida kubwa ya arsenali ni consistency ya ushindi. Wanaweza wakaanza vizur sanaa ila wakaja kupoteana kipindi ambacho walitakiwa kufanya vizur..Hakuna anayewachukia ndiyomaana munashinda mpaka goli 6 na 5 kwenye baadhi ya mechi kila msimu.
Issue ni kwamba hamuna Consistency ya ushinda pia Arteta anafundisha mpira tu lakini anashindwa kufundisha discipline ya uwanjani ndiyomana red cards ni kitu cha kawaida kwenu.
Hebu kuweni na consistency ya kushinda back to back muone kama mutaona hiyo kitu kuchukiwa.
Szbo any day of the week didn't put any wrong foot despite playing orthodox RB vs Magpies ....Yesterday, my MOTMs were many VVD, Grav, Szobo, Gakpo, and Rio 😂😂