Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie takataka za kuruhusu goli mbili kila mechi
Jumapili hizo mbili mtaruhusu kama kawaida yenu
Ila hilo moja la kufunga mtalitafuta
Takataka nyinyi
Beki ibu konate anakaba na mikono
Shukuruni marefa wapo upande wenu ila hiyo takataka ingekuwa inacheza wiki moja uwanjani mechi tatu nje nyekundu
Mechi 12 majeruhi
 
IMG-20250827-WA0021.jpg
 
Aisee hatujashinda hapo Anfield tangu 2012 kumbe? Long time sana mazee.
Jumapili tunakuja kuchukua points 3 hapo aisee.
Hatutaki mazoea.
 
Aisee hatujashinda hapo Anfield tangu 2012 kumbe? Long time sana mazee.
Jumapili tunakuja kuchukua points 3 hapo aisee.
Hatutaki mazoea.
 
Nyie takataka za kuruhusu goli mbili kila mechi
Jumapili hizo mbili mtaruhusu kama kawaida yenu
Ila hilo moja la kufunga mtalitafuta
Takataka nyinyi
Beki ibu konate anakaba na mikono
Shukuruni marefa wapo upande wenu ila hiyo takataka ingekuwa inacheza wiki moja uwanjani mechi tatu nje nyekundu
Mechi 12 majeruhi
Unaongea kwa hasira kama umeshikwa apple.
 
🚨 | Kwa mujibu wa taarifa, Chelsea imepanga kuifata Liverpool kuidai kiasi cha pesa kwa kumchukua bure nyota kinda Rio Ngumoha ambaye usiku wa Jumatatu alifunga goli la ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle.

Taarifa inasema kwa kuwa nyota huyo hakuwa na mkataba wa mchezaji wa kulipwa sababu hakuwa amefikisha umri wa kupewa mkataba huo lakini baadae akajiunga na Liverpool na kuiacha Chelsea ikiwa imehuzunishwa na kuondoka kwake kwa kuwa tayari alishaanza kufanya mazoezi na timu ya wakubwa, Chelsea inaona kuna haki inaweza kupata kwa kulipwa walau pesa kidogo kwa kumkuza nyota huyo.

Dau la paundi milioni 4 linatajwa linaweza kutumika kulipwa Chelsea
 
🚨 𝙀𝙭𝙘𝙡𝙪𝙨𝙞𝙫𝙚! Marc Guehi is expected to complete his move to Liverpool after Crystal Palace's Conference League tie tomorrow against Fredrikstad.

🚨 The FA Cup winners have been holding out for a sizeable fee for Guehi all summer, who has entered the final year of his contract at Selhurst Park.

🚨 Guehi has agreed personal terms with Liverpool and will bolster Arne Slot's defence, who have looked shaky at the back so far this season.
IMG-20250827-WA0056.jpg
 
🚨 | Kwa mujibu wa taarifa, Chelsea imepanga kuifata Liverpool kuidai kiasi cha pesa kwa kumchukua bure nyota kinda Rio Ngumoha ambaye usiku wa Jumatatu alifunga goli la ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle.

Taarifa inasema kwa kuwa nyota huyo hakuwa na mkataba wa mchezaji wa kulipwa sababu hakuwa amefikisha umri wa kupewa mkataba huo lakini baadae akajiunga na Liverpool na kuiacha Chelsea ikiwa imehuzunishwa na kuondoka kwake kwa kuwa tayari alishaanza kufanya mazoezi na timu ya wakubwa, Chelsea inaona kuna haki inaweza kupata kwa kulipwa walau pesa kidogo kwa kumkuza nyota huyo.

Dau la paundi milioni 4 linatajwa linaweza kutumika kulipwa Chelsea
Milioni 4 ni nyingi labda milion moja inawatosha
 
Arsenal hamjawai kua na changamoto mzunguko wa kwanza wa Ligi ... nyie hua ni pale mwezi wa pili mpaka wa Tano ndio hua mnapata sana shinda..ngoja tuone msimu huu hamna pa kujificha Arteta kapewa wachezaji mapema aliowataka kuimarisha kikosi.

YNWA
Huwa kuna sababu ya sisi kudrop off, mostly huwa ni ufinyu wa kikosi, kwa sasa unaona hatuna Saka, harvertz, Ø & Jesus lakini huoni mtu anacomplain, round hii tunachukua 6 points kutoka kwenu, mkijitahidi sana tunachukua 4.
 
Hapa napo kuna hela mnatoa kwa Chelsea
𝙀𝙭𝙘𝙡𝙪𝙨𝙞𝙫𝙚! Marc Guehi is expected to complete his move to Liverpool after Crystal Palace's Conference League tie tomorrow against Fredrikstad.

The FA Cup winners have been holding out for a sizeable fee for Guehi all summer, who has entered the final year of his contract at Selhurst Park.

Guehi has agreed personal terms with Liverpool and will bolster Arne Slot's defence, who have looked shaky at the back so far this season.View attachment 3455365
 
Huwa kuna sababu ya sisi kudrop off, mostly huwa ni ufinyu wa kikosi, kwa sasa unaona hatuna Saka, harvertz, Ø & Jesus lakini huoni mtu anacomplain, round hii tunachukua 6 points kutoka kwenu, mkijitahidi sana tunachukua 4.
Ishu za majeruhi na dharura zipo kote Cha msingi ni consistency ya matokeo safi pointi 3..... Kimsingi hata nyie mkitazama hii misimu mitatu iliyopita hamjaamini kukosa ubingwa hata mara 1 ni dalili kwamba bado mna mapungufu na hili dirisha mmefanya biashara mapema na bado mko sokoni kuweka mambo sawa ili EPL itue Emirates 🤓 🤓.....
Tukumbushane Mei 2026 nani atacheka mwisho

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom