King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Hizo sababu hazitakosekana maana marefa na PGMOL na FA kila mtu anajua wanatuchukia. Sisi mpango wetu ni ule ule wa kila msimu, kufunga kila timu japo tunaonewa.
Hakuna anayewachukia ndiyomaana munashinda mpaka goli 6 na 5 kwenye baadhi ya mechi kila msimu.
Issue ni kwamba hamuna Consistency ya ushinda pia Arteta anafundisha mpira tu lakini anashindwa kufundisha discipline ya uwanjani ndiyomana red cards ni kitu cha kawaida kwenu.
Hebu kuweni na consistency ya kushinda back to back muone kama mutaona hiyo kitu kuchukiwa.