FSG, Michael Edwards, Richard hughes na huyu mzee kipara wamezamilia kutuua na presha msimu huu wakati league ndio kwanza inaanza, tulianza usajili vizuri sana ila kumalizia nafasi mbili tu za CB na DM ndio imekuwa shida? Hawa jamaa wapo serious kweli? Saga ya Isak sitaki kuwalaumu wao lakini Deal kama ya Guéhi tunalichelewesha wenyewe tu mpaka city wanataka kuhijack na soon itatucost, hivi £ 40M ni ya kutushinda kweli?