HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Kwamba Van Dijk yuko sokoni kwa sasa kwa 23M Euros? Na Alisson kwa 20? Mbona hiyo sisi tunaweza kuilipa chaap tu pamoja na uzee wao? Kesho tunakuja kukaa mezani Anfield haraka sana.
Kwamba Van Dijk yuko sokoni kwa sasa kwa 23M Euros? Na Alisson kwa 20? Mbona hiyo sisi tunaweza kuilipa chaap tu pamoja na uzee wao? Kesho tunakuja kukaa mezani Anfield haraka sana.
Ukubwa wa mwili auchezi mpira kumbuka mpira ni kidude kidogo tu Cha duara ila kinawatoa jasho wenye miili kama hiyoView attachment 3423244
Hili jitu eti ndiyo lije pale Anfield likutane na kibabu Van Dijk? Si litapiga double hat-trick aisee?
Konate msimuache aende Madrid kwanza aisee. Na malizaneni na Guehi kama kweli mnamhitaji. Tusije kulaumiana.
Haaland si mnamuita Jini? Sasa huyu ndiyo Shetani mkuu mwenyewe. Hakuna rangi mtaacha kuona (huu usemi wa uchagani enzi hizo utarudi kutrend).Ukubwa wa mwili auchezi mpira kumbuka mpira ni kidude kidogo tu Cha duara ila kinawatoa jasho wenye miili kama hiyo
Hamna kitu hapo mwili jumba kazi sisimiziHaaland si mnamuita Jini? Sasa huyu ndiyo Shetani mkuu mwenyewe. Hakuna rangi mtaacha kuona (huu usemi wa uchagani enzi hizo utarudi kutrend).
Hahaha hio bei zao wanatazamana mambo mengi sana age, mkataba alipo nk nk...ukimgusa Allison au VVD au Salah ni 100m🤓🤓🤓 ili ukwame wabakie walipo...Kwamba Van Dijk yuko sokoni kwa sasa kwa 23M Euros? Na Alisson kwa 20? Mbona hiyo sisi tunaweza kuilipa chaap tu pamoja na uzee wao? Kesho tunakuja kukaa mezani Anfield haraka sana.
Hamna bhana. Cheki hizo bei walizoweka. Nahisi wamedanganya kidogo maana huenda wamemaanisha bei mlizowanunulia, kama hiyo ya Wirtz na Ekitike, ila haiwezekani maana nakumbuka enzi hizo mlilipa kama 75M pounds kwa VVD. Si alikuwa beki wa bei kali kuliko kabla ya Nyumbuz kupigwa za uso kwa Magwaya? sasa hiyo 23M sijui wameitoa wapi.Hahaha hio bei zao wanatazamana mambo mengi sana age, mkataba alipo nk nk...ukimgusa Allison au VVD au Salah ni 100m🤓🤓🤓 ili ukwame wabakie walipo...
Katazame release clause za wachezaji Real Madrid na Barcelona utachokaa balaa ni Euro 1 billion 😄😄😄
YNWA
ahahahaha kiongozi najua bado una ukakasi kumkubali bado unamuona kama anajitafuta ivi
umesahau kama ligi inaitwa English Premier LeagueView attachment 3423244
Hili jitu eti ndiyo lije pale Anfield likutane na kibabu Van Dijk? Si litapiga double hat-trick aisee?
Konate msimuache aende Madrid kwanza aisee. Na malizaneni na Guehi kama kweli mnamhitaji. Tusije kulaumiana.
Viktor hajawahi kujali hilo.umesahau kama ligi inaitwa English Premier League
Unauza Kelleher
🤓🤓🤓🤓Hello Saint Anne.Unauza Kelleher
Unaacha mapazia
huyu bwana mdogo Will Wright tukicheza na Manyumbu anaweka kamba zote 5 pale kwenye matofali.View attachment 3423918
HENRY14 mmefeli wapi tena mpaka dogo kutua Anfield.
Here we go next Michael Owen
YNWA
Hahahaha dogo huko underground ana magoli kama yote hata sielewi Arsenal wamechelewa kwanza muda tu wanaongea nae mara pap Edwards na Hughes wakamaliza jambo.huyu bwana mdogo Will Wright tukicheza na Manyumbu anaweka kamba zote 5 pale kwenye matofali.