mainabaina
Member
- Dec 28, 2013
- 89
- 190
Genius
Genius ya utumbo!! wakati alipita na upepo wa Klop, hamna kitu humo. Mtakuja kumkataa tu siku moja.
Chelsea naishauri vipi kwa mfano maana ni Mabingwa wa kusajiliNenda kashauri timu Yako unayoshabikia isajili vizuri sio usiyoishabikia sababu tukisajili vibaya wewe si ndio vizuri update kombe
Mabingwa wa kusajili kweli ndio maana ni mabingwa wa EPLChelsea naishauri vipi kwa mfano maana ni Mabingwa wa kusajili
boss nijuze ipi club unayoishabikia ili tukikupasua niwe nakutag kwa heshimaGenius ya utumbo!! wakati alipita na upepo wa Klop, hamna kitu humo. Mtakuja kumkataa tu siku moja.
Huyo ni Chelsea😂boss nijuze ipi club unayoishabikia ili tukikupasua niwe nakutag kwa heshima
Kweli mabadiliko ni nature ya binadamu
Yaani nadhani kwa sasa tuwe tu wapole tuone namna usajili unavyokwenda.Kweli mabadiliko ni nature ya binadamu
Huyu jamaa tumemlaani aana humu ndani
ahahahaha kiongozi najua bado una ukakasi kumkubali bado unamuona kama anajitafuta iviHivi mpaka leo kumbe sijawahi kuandika chochote kuhusu uwezo wa Slot tokea aje Liverpool licha ya kushinda EPL?
Dah! Napata uzito sana wa kuandika kila nikitaka kuandika kuhusu yeye 🤔
Hebu ngoja niendelee kujipa muda kwanza ili nije na andiko lililotulia ambalo halitonihukumu baadae.