Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🚨 𝗜𝗡𝗙𝗢 - @Plettigoal: PSG has joined Liverpool in the race for Rodrygo, the French side is also interested in the player ☎️🇧🇷
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa huyu jamaa kashindwa kuperform vizuri EPL..
1753270731160.jpg
 
[🟢] NEW: Crystal Palace have informed Marc Guehi the preference is a sale and are now welcoming offers.

A move to Anfield has looked the most likely this summer, however they currently believe Crystal Palace's asking price is too high.

[@JacobsBen]
 
Nimekuelewa sana mwaisa, unajua kiukweli timu ya Klopp ungempa Kocha mwingine ni kisanga

Kuna hawa TAA, Hendo, Wijnadulm na Bobby kwa makocha wengine ngumu kuwatumia kama alivyokuwa anawatumia Klopp

Kwa kumalizia committee mode ndio iliwaleta akina Mac Allister na Szobo ama ni Klopp?
Ifahamike sio kila kitu walipingana au kukubaliana, hao uliowataja ni ushirikiano wa Data Driven approach na Klopp's demand pia.
 
Mkuu kumbe unapenda Mishangazi?

Hivyo vya 2000 sio vitoto tena sasa hivi wana miaka 25 tayari ni Mishangazi hiyo yameshatoa mimba kama 8 hivi huko sisi tumeshahama.
Tumehamia kwa vitoto vya 2010 sasa vinakunjika kama kamongo.
Aisee,. Hehehehe ndio humo humo alfu mbili kaka,.

Sio lazima awe alfumbili exactly anaweza kuwa 2010 kama hivyo.
Hapo kuchoropoa Mungu awahurumie tu wasababishaji si ndio sisi sisi tu??

Ynwa
 
Data Driven approach.

Huu ni mfumo wa kisayansi unaotumiwa na Liverpool katika sajili za wachezaji wake kwa miaka kwa takribani miaka 13 sasa.

ILIANZAJE?

Ikumbukwe Liverpool ni klabu iliyokuwa kama klabu nyingine zinasajili kwa kijadi yaani kupitia ma scout kwa kuwaona kwa macho, kutumia no. Kama magoli ya mashindano na kujilikana kwa mchezaji. Huu mfumo ulianza kushift kati klya 2010-2012 ndipo Data Driven Approach System ilipoanza kuchipua.

Liverpool walimsajili Damien Comolli kutoma Tottenham na kumuajiri kama Director of Football Strategy. Huyu jamaa ndiye aliyeanzisha umuhimu wa kutumia data analytics kwenye mpira kati ya 2010-2012.

Comolli alipata idea hii wakati wanafanya kazi kwa karibu na Dr. Ian Graham, wakati Graham anafanya kazi kwenye kampuni ya Decision Technology, hivyo akawa anatoa ushauri wake juu ya data.

2011 Liverpool inamuajiri Michael Edward kuwa Head of performance and analysis. Edward aliamini data katika kuendesha maisha ya mchezaji uwanjani. Hapo zikakutana idea mbili zenye mlengo unaofanana Edward na Comolli.

2012, Dr. Ian Graham anajiriwa na klabu kama Director of research akachagua timu yake ya utafiti ya kusaidiana shughuli za kila siku za klabu.

Edward akaona ni wakati wa kutumia data zaidi kuendesha shughuli za klabu, kwanza kusajili pili performance baada ya usajili tusiangalie kwa macho tu na ukubwa wa jina ila data pekee yake zinaweza kutupa mchezaji mzuri.

Wazo hilo likakuzwa na watu wawili Edward na Dr. Ian Graham. Edward akaanza sasa kuonganisha video analysis (kitengo chake) na data modelling (kitengo cha Dr Ian Graham).
Hapa ndipo pakazaliwa Liverpool Data Driven Approach System vichwa viwili vilihusika (MICHAEL EDWARD & Dr. IAN GRAHAM).

Kwenye data modelling tunakutana na:-
1. Performance data.
Hizi ni takwimu za mchezaji ambazo hupatikana kwa sources mbali mbali. Hapa tunakutana na
Goals, assist, key passes, pass completion, dribbles, interceptions, distance covered, pressing effectiveness na mengine mengi (xG, xA, xT).

2. Medical & Injury data
Hii ni data as a name implies, ni mambo ya afya na utimamu wa mchezaji kwa ujumla wake.
Mbona tulimsajili Thiago injury prone, Keita, Ox, Matip, Hapa ni mjadala mwingine. Mwili wa mchezaji una tabia gani?

3. Tracking and positions data.
Data zinakusanywa namne mchezaji anavyosimama uwanjani, positions zake za kufuata moves ya mpira, anavyokimbia. High intensity Sprint, heat map (anapendelea kucheza wapi zaidi) na mengine.

4.Behavior and Psychology.
Kama heading ilivyo ni kuhusu tabia za mchezaji kama reaction yake akiwa under pressure, hutumia kama interview, Scouting Reports na vingine.

Hii ndio category nne Liverpool hutumia kusajili mchezaji. Humo ndani ni baadhi tu nimegusia ila kuna vingi tu humo ndani vinazingatiwa vingi sana.
Sasa wakishapata data kama hivyo vinawekwa kwenye

--Machine learning algorithm (eneo la Graham hili).
--Statistical Modelling (hapa hunyambua data wanazozihitaji zaidi ndizo hufanyiwa kazi).
--visual dashboard. Huu ni mfumo wa kuonesha data kwa njia ya Picha, Michoro, Grafu ili kufanya maamuzi kwa urahisi zaidi.

Baada ya hapo ndio muunganiko wa Data Team, Medical team, Scouting team na kocha wanapitia kufanya maamuzi.

Sasa 2015 Klopp alikubali kujiunga kwa kutumia ushawishi huu wa data driven approach system baada ya kupikwa na kuanza kuiva.

Mfumo ukakutana na vichwa vitatu
Dr. Ian Graham, Edward (baada ya kupanda na kuwa Sporting director) na Jurgen Norbert Klopp. Klopp ndiye alipendekeza Edward awe Sporting director na kutoka huko Head of performance & data analytics.

Mf. Mzuri wa data driven approach ulivyofanya kazi ni ununuzi wa Mohamed Salah (King Pharao, Mo Salah, Mo King).

Klopp alipendekeza Julian Brant asajiliwe kwa sababu anajua ubora wake na amefanya nae kazi, hivyo haitakuwa nguvu kufanya nae kazi. Lakini data driven approach system ikakataa kwa kuwa tayari walikuwa na jina la Salah on the table. Ikabidi Edward amshawishi Klopp kukubaliana nayo. Boom Klopp accepted na the rest imekua history.
Hii data driven ilisaidia hata kwa selection ya Klopp hata Arne Slot kwa sasa.

Ikumbukwe kila kilichotengenezwa na mwanadamu hakijakamilika, hivyo data driven ilianza kwa kufeli pia.
Selection ya Brendan Rodgers as head coach, sajili za kina Ballotelli, Markovic, Lambert, Allen unazikumbuka? Huko ilikua ni data driven inatumika ila haikua imeiva ikawa ni failed attempt. Ilipokutana na kocha bora ikawa successful one.

Haukuwahi kujiuliza selection nyingi za LFC nilizikuwa monitored na big fishes? Deals za kina Camavinag, Tchoumeni, Jude, Mbappe, Enzo Fernandez, Guimaraes na wengine...

Hata wachezaji walioonekana sio wakabwa waliweza kusajiliwa na kutengeneza majina yao chini ya mfumo huo.

Unataka Champions league na E unaenda kumsajili Robbo ambaye amecheza Hull City tena inashuka daraja mnamsajili,? Vipi Wijnaldum na Newcastle yake iliyoshuka daraja ila LFC wakasema we need you tukashinde CL na EPL. Vipi kuhusu option ya Brant ambaye alikuwa already Established ila akachaguliwa Salah aliyeonekana flop EPL? Mourinho mshenzi alituibia deal la Salah kutoka Basel wakati hakuwa na haja nae ni ubabe wa pesa tu. Kipindi hicho tunabangaiza hatuna jina nani atakutaka bwana? Ila ikiandikwa itakukuta tu.
Vipi unamchukua Sadio Mane over Mario Gotze wa 2016? Hii ndio data Driven. Ilibidi Klopp asubiri msimu mzima kwa Vvd alishaona matunda yake tayari.

Unakumbuka deal la Fekir? Klopp alisema kama tungemsajili Fekir tusingekuwa na pesa ya kumsajili Alison. Unapata picha gani na kufeli deal Fekir kuhamia LFC? Unakumbuka alifeli stage gani (medical stage).
Data driven approach system ni mwanga na ina matokeo chanya.

Hii ndio data driven approach system iliyoanzia kwa Damien Comolli, ikaendelezwa na Edward na Dr. Graham.
Inafanya mambo mengi ila kwa ufupi ndio hiyo hapo sasa.

Kuna maswali kwa nini FSG hawakumwaga fedha nyingi kwa Klopp na kwa nini wanamwaga kwa Slot?
Data Driven Approach System inaonesha hivi anachokitaka Klopp kinaonesha hivi, ugumu wa mioyo ukawaingia.
Na Jurgen alipata full power ya maamuzi, hii ilishindwa kwenda sambamba na weakness yake. Klopp ni "fatherly coach" and "loyalty coach".
Kuna mdau ameelezea hili vizuri hapo juu kwa nini inaenda hivyo sasa na sio passed era.

Overall aim ya data driven approach system ni kupunguza human error (kama za PGMOL), INtiution zaidi ya uhalisia.
Tuendelee kuona next coming ins under Data Driven Approach System.

Ynwa.
 
Kwanini Liverpool haitorudi kwenye banter era hata baada ya Klopp kuondoka ni hizi hapa 😄😄😄

1. Miundombinu ya Kisaasa Imewekwa

Liverpool imewekeza kwenye AXA Training Centre moja ya training centre bora Ulaya.

(Dogo Kerkez aliamua kuwadolishia wenzake mitandaoni na mapicha picha mengi 😂😂😂)

Uwanja wa Anfield umeboreshwa na upo capacity ya karibu watu 61,000 hii ni Liverpool ya modern football, siyo ile ya miaka ya Hodgson kuomba matokeo nyumbani dhidi ya Stoke City.

2. Squad Ina Umri Mdogo na Quality

Klopp ameacha kikosi kikiwa young, energetic and hungry akina Szoboszlai, Mac Allister, Gakpo, Nunez, Diaz, wote bado wana miaka mingi ya kilele cha soka.

Mabeki kama Quansah walionyesha Liverpool ina future nzuri bila kusubiri marquee signings. Pamoja na kuwa alishaondoka na kusajiliwa Bayer Leverkusen

3. Liverpool Sasa Inajitegemea Siyo Klabu ya “Hope and Pray”

Zamani Liverpool ilikuwa inategemea miracle season (2013/14), lakini sasa kuna structure na system ya soka inayoendesha klabu hata kocha akibadilika.

Data-driven recruitment, sports science, na analytics department imara Liverpool inafanya maamuzi ya kiufundi sio ya kihisia.

4. FSG Wamejifunza Hawalali Tena

FSG walipigwa sana mkwara kipindi cha Super League na ukimya wa misimu miwili iliyopita, sasa wamefungua investment channels, mfano wameongeza directors bora kama Richard Hughes na Michael Edwards amerudi kusimamia football operations.

Hii inaonyesha wana strategy ya sustainability and success kwa miaka mingi mbele.

5. Legacy ya Klopp Imejenga Character Mpya

Liverpool sasa inajiona klabu ya winners, siyo “just top four.” Hii mentality ya ushindi imejengeka na haiwezi kufutwa msimu mmoja tu.

Hata kwa Slot, pressure ni kushinda makombe, sio tu kuqualify Champions League kama achievement.

6. Wapinzani Wakubwa Wako na changamoto zao

Chelsea bado wanatafuta kocha mwenye identity.

Manchester United wako kwenye transition ya Ineos.

Arsenal bado wanahangaika na consistency.

Hii inafanya Liverpool iwe kwenye nafasi bora ya kubaki juu kuliko kurudi “banter era” ya kumaliza namba 8 na kutolewa na Aston Villa Carabao round ya pili.

Kwa kifupi: Liverpool haitarudi “banter era” kwa sababu siyo timu ya mood swings tena ni taasisi ya mpira wa kisasa yenye winning mentality, system ya scouting, na squad yenye future. Hii ni Liverpool inayopambana kila mwaka kuwin, siyo kujivinjari tu.
 
Andy Caroll wa Newcastle alikua moto kweli kweli, ila kuja LFC flop. By the way Newcastle walikua wazuri kikosi chao kilikua kinatoa National team players

Ile injury imemrudisha nyuma sana, 2023/2024 if he hadn't gotten injured it could have been his year.
Kipaji kimo sana kwa jamaa, namkubali.

Ynwa

Baada ya kupona vidonda kwa miaka mingi umeamua utukumbushe Carroll?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom