Fofana ni mzuri ila upatikanaji wake lazima utahusisha bidding war, Leao below £70m hapatikaniLeao
Semenyo
Malick Fofona.
YNWA
Fofana ni mzuri ila upatikanaji wake lazima utahusisha bidding war, Leao below £70m hapatikaniLeao
Semenyo
Malick Fofona.
YNWA
1. Nico Williams (Athletic Bilbao)kwa faida ya ubongo wangu nitajie angalau left wingers wa 3 wazuri tunaoweza kuwapata below £70m
Comrade kindly recheck your source Bakayoko alishauzwa RB Leipzig dirisha hili na Nico kaongeza mkataba AB...1. Nico Williams (Athletic Bilbao)
Umri: 21
Winger wa kushoto (lakini anaweza kulia pia)
Release clause: €58m (approx £49m)
Ana pace, dribbling, decision-making, na ameng'ara sana Euro 2024.
Perfect alternative kwa Luis Díaz au rotation ya upande wa kushoto. Anaweza kucheza high-press system vizuri sana.
2.Johan Bakayoko (PSV Eindhoven)
Umri: 21
Right winger (left-footed)
Bei ya sasa: £35–45m (anaweza kupatikana hata kwa £40m)
Stats (2023/24): 14 assists, 12 goals (all comps)
Ana speed, creativity, na crossing bora. Versatile, anaweza pia kuingia katikati.
Faida kwa Liverpool: Right-sided winger bila Salah – huyu ni mbadala mzuri kabisa wa muda mrefu.
Nico si juzi kati hapa kasaini miaka 10, umpate kwa £58m kweli!!1. Nico Williams (Athletic Bilbao)
Umri: 21
Winger wa kushoto (lakini anaweza kulia pia)
Release clause: €58m (approx £49m)
Ana pace, dribbling, decision-making, na ameng'ara sana Euro 2024.
Perfect alternative kwa Luis Díaz au rotation ya upande wa kushoto. Anaweza kucheza high-press system vizuri sana.
2.Johan Bakayoko (PSV Eindhoven)
Umri: 21
Right winger (left-footed)
Bei ya sasa: £35–45m (anaweza kupatikana hata kwa £40m)
Stats (2023/24): 14 assists, 12 goals (all comps)
Ana speed, creativity, na crossing bora. Versatile, anaweza pia kuingia katikati.
Faida kwa Liverpool: Right-sided winger bila Salah – huyu ni mbadala mzuri kabisa wa muda mrefu.
Mkuu ipo hivi tunae proven LW Gapko hivyo pale tunatafuta msaidizi na Fofana anafiti kabisa na hakuna bidding war kwake ni apewe project plan ipo hivi aamue mwenyewe kama ulivyoona kwa Hugo, Flo nkFofana ni mzuri ila upatikanaji wake lazima utahusisha bidding war, Leao below £70m hapatikani
Mchezaji Rodrigo tu hao wengine watakuja kuwa flop eplMkuu ipo hivi tunae proven LW Gapko hivyo pale tunatafuta msaidizi na Fofana anafiti kabisa na hakuna bidding war kwake ni apewe project plan ipo hivi aamue mwenyewe kama ulivyoona kwa Hugo, Flo nk
YNWA
Afadhali amesema maestro wa kihispaniola mnaweza kujua uelekeo wenu msimu ukianza.Yaani huyu dogo alimuona Slots bado sana😂😂😂katudharau sana na sana tena
View attachment 3416243
Mpira sio mdomoni ni uwanjani chezeni mpira uwanjani sip mnaucheza mdomoniAfadhali amesema maestro wa kihispaniola mnaweza kujua uelekeo wenu msimu ukianza.
Tungesema sisi wadengereko, mngetuona wachawi tu, ila Slot pale mmepigwa big time.
unauhakika gani kwamba huyo Rodrygo EPL haitomshinda. binafsi namtaka yeyote kati yaoMchezaji Rodrigo tu hao wengine watakuja kuwa flop epl
Na uhakika 100% hawezi kushindwa epl Rodrigo huwezi kufananisha na hizo takatakaunauhakika gani kwamba huyo Rodrygo EPL haitomshinda. binafsi namtaka yeyote kati yao
na hii ndio shida yenu Arsenyani mnaongea sana halafu mnajikuta Class flani hivi wakati hata vicarabao na mapinduzi cup mnaishia kuviona YouTube, players na staff wenu wamekuwa watu wa ahadi kama serikali ya TanzaniaAfadhali amesema maestro wa kihispaniola mnaweza kujua uelekeo wenu msimu ukianza.
Tungesema sisi wadengereko, mngetuona wachawi tu, ila Slot pale mmepigwa big time.
Nimejibu kutokana na lile swaliComrade kindly recheck your source Bakayoko alishauzwa RB Leipzig dirisha hili na Nico kaongeza mkataba AB...
YNWA
Nimejibu kutokana na jamaa alivyouliza post #152398Nico si juzi kati hapa kasaini miaka 10, umpate kwa £58m kweli!!
sawa aje tu, si tunachohitaji ni kuenjoy tuNa uhakika 100% hawezi kushindwa epl Rodrigo huwezi kufananisha na hizo takataka