Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1000090255.jpg

🔥🔥🔥🔥🔥🔥

YNWA
 
DNA governance ya Liverpool chini ya FSG na kubadilika kwa nguvu ndani ya klabu baada ya Klopp

1. Klopp Alijenga “Manager FC”, sio “Coach FC”

Klopp hakuwa “just a coach”. Alikuwa figure ya manager ambaye alikuwa ana final say kwa signings (hata kama ilikuwa consensus).

Michael Edwards alifanya kazi vizuri na Klopp, lakini klabu iligeuka kuwa Klopp-centric. Julian Ward aliona hilo, akajitoa mapema akisema “the environment was no longer conducive to his style of work” japo alikuwa promoted.

After Klopp, Liverpool wanataka return to “structure first”, ambapo Coach ana limit ya maamuzi na recruitment ni driven by a Sporting Director, Data Analytics na “club philosophy” — kitu ambacho Slot anakubali bila mapambano.

2. Edwards na Ward Waligoma Kuwa Washika-Mikoba wa Kloppism

Michael Edwards aliondoka kwa sababu hakuona growth kwenye setup ya Klopp. Hakutaka kuwa “yes man” kwenye project ya Klopp.

Sasa amerudi kwa sababu Klopp ameondoka na Edwards amepewa mandate ya kujenga upya mfumo wa recruitment-led club, bila ‘dominant personality’ kama Klopp.

Julian Ward aliona hakuweza kufanya kazi kwenye mazingira yenye “power vacuum” ya Klopp, akachomoka baada ya miezi 12.

3. Slot ni “Head Coach” kwenye Mfumo wa Edwards, Klopp alikuwa “General Manager”

Slot anakuja akiwa ameshakubali hana final say, anafuata sporting structure ya new LFC ya data-first, club-led recruitment.

Klopp alikuwa mtu wa gut feeling, alikuwa hata override scouts (mfano Darwin Núñez na Gakpo).

Liverpool sasa inarudi kwenye model kama ilivyokuwa enzi za Brendan Rodgers baada ya transfer committee reforms, lakini safari hii na leadership ya Edwards ikiongozwa na multi-club model.

4. Kauli za Klopp Mwaka wa Mwisho Zinaonyesha Kilio chake

Klopp amekuwa akisema:

“The market has changed, we can’t do miracles.”

“Sometimes I have to accept the club’s decision.”

Baada ya Wirtz kusaini Bayern, Klopp alitamka kwa huzuni kwamba “clubs with different structures can act faster and decisively”. Hii ilikuwa indirect frustration kwa style ya Liverpool, ambayo ilishaanza kurejea kwenye committee model kabla hata hajaondoka.

5. Sababu za Sasa kwa Slot ni Zaidi ya Klopp

Rebuild ya Squad inahitaji stability ya system, sio personality.

Multi-club model ya LFC kwa sasa inataka slotting in coaches kwenye structure, sio kubinafsisha club kwa coach mmoja.

Edward na genge lao walirudi kwa sababu wanajenga system-first era, na Slot ni bridge ya transition.

Kama Slot atashindwa wanaflexibility ya ku-rotate head coach bila ku-dismantle system, kitu ambacho haikuwezekana kwa Klopp.

Maoni ya Kitaalamu

Liverpool wamejifunza somo la “Manager Dependency” na sasa wanarudi kwenye model ya system-first club. Klopp alikuwa mwisho wa cult of personality managers. Slot ni product ya club structure revolution. Edward anarudi kujenga philosophy-first football, na Slot ni sehemu ya mpito.

Kwa hiyo, hawakuweza “kumfungia Klopp” ndani ya system kwa sababu Klopp alikuwa system yenyewe. Kwa Slot ni kinyume chake: Slot atakuwa employee wa system.
Nimekuelewa sana mwaisa, unajua kiukweli timu ya Klopp ungempa Kocha mwingine ni kisanga

Kuna hawa TAA, Hendo, Wijnadulm na Bobby kwa makocha wengine ngumu kuwatumia kama alivyokuwa anawatumia Klopp

Kwa kumalizia committee mode ndio iliwaleta akina Mac Allister na Szobo ama ni Klopp?
 
Nimekuelewa sana mwaisa, unajua kiukweli timu ya Klopp ungempa Kocha mwingine ni kisanga

Kuna hawa TAA, Hendo, Wijnadulm na Bobby kwa makocha wengine ngumu kuwatumia kama alivyokuwa anawatumia Klopp

Kwa kumalizia committee mode ndio iliwaleta akina Mac Allister na Szobo ama ni Klopp?
Mac Allister alisajiliwa kupitia data-led recruitment iliyoongozwa na new sporting director Jörg Schmadtke na chief scout Barry Hunter, wakishirikiana na data analysts wa Liverpool. Klopp alikubali kwa sababu ya tactical flexibility, lakini kulingana na taarifa nyingi (The Athletic, The Times), haikuwa “Klopp personal target” bali ni committee recommendation kwa sababu ya clause ya £35m, value for money, versatility na Premier League readiness.

Szoboszlai ilikuwa committee-driven opportunity. Liverpool waligundua release clause ya €70m iko karibu ku-expire (July 1st 2023) na wakapiga haraka. Klopp hakuwahi kumsimamia moja kwa moja, lakini scouting reports (kwa miaka mingi wakati yuko Salzburg na Leipzig) zilimshawishi Klopp akubali kusainiwa. (Source: The Guardian, 2023).

⚠️ Ikumbukwe: Klopp alipata final veto power kama kawaida, lakini hizi signing mbili hazikutokana na Klopp “kuomba” wachezaji fulani kama ilivyokuwa kwa Naby Keita au Darwin Núñez. Ilikuwa ni market-driven, squad needs na data scouting ambazo committee iliongoza.
 
Mac Allister alisajiliwa kupitia data-led recruitment iliyoongozwa na new sporting director Jörg Schmadtke na chief scout Barry Hunter, wakishirikiana na data analysts wa Liverpool. Klopp alikubali kwa sababu ya tactical flexibility, lakini kulingana na taarifa nyingi (The Athletic, The Times), haikuwa “Klopp personal target” bali ni committee recommendation kwa sababu ya clause ya £35m, value for money, versatility na Premier League readiness.

Szoboszlai ilikuwa committee-driven opportunity. Liverpool waligundua release clause ya €70m iko karibu ku-expire (July 1st 2023) na wakapiga haraka. Klopp hakuwahi kumsimamia moja kwa moja, lakini scouting reports (kwa miaka mingi wakati yuko Salzburg na Leipzig) zilimshawishi Klopp akubali kusainiwa. (Source: The Guardian, 2023).

⚠️ Ikumbukwe: Klopp alipata final veto power kama kawaida, lakini hizi signing mbili hazikutokana na Klopp “kuomba” wachezaji fulani kama ilivyokuwa kwa Naby Keita au Darwin Núñez. Ilikuwa ni market-driven, squad needs na data scouting ambazo committee iliongoza.
Ooooh nimeelewa
 
Hivi unajua kwamba mchezaji anayeongoza kwa kula mshahara mkubwa pale epl anatoka Liverpool anaitwa Mo Salah analipwa £400,000 kwa wiki

Masahihisho: Haaland anamzidi Salah
Mkuu Halaand analipwa £525,000k kwa wiki pale Ethad na inaweza kupanda mpaka £825,000k kwa wiki endapo atafikia mafanikio Fulani hii inakua kama bonus.

Salah ni wa pili kwa kulipwa 400k kwa wiki huku akifuatwa na VVD kulipwa kwa £350 kwa wiki.


YNWA
 
Kitoto cha alfu mbili kikikuamulia umeisha hauchomoki, Aliyenificha kitoto cha alfu mbili, na wa alfu mbili anayenijua ni wewe tu huku duniani. Je nani amenificha??

Ynwa"

Mkuu kumbe unapenda Mishangazi?

Hivyo vya 2000 sio vitoto tena sasa hivi wana miaka 25 tayari ni Mishangazi hiyo yameshatoa mimba kama 8 hivi huko sisi tumeshahama.
Tumehamia kwa vitoto vya 2010 sasa vinakunjika kama kamongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom