Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tetesi za Soka Ulaya: Rodrygo kumrithi Luis Diaz Liverpool?
Saa 1 iliyopita
Winga wa Real Madrid na Brazil Rodrygo, 24, ni mmoja wa nyota wa kumrithi Luis Diaz huko Liverpool iwapo winga huyo wa Colombia mwenye umri wa miaka 28 ataondoka Anfield (Florian Plettenberg).

Mshambuliaji wa Sweden Alexander Isak, 25, anataka pauni 300,000 kwa wiki kusaini mkataba mpya Newcastle (Talksport).

Granit Xhaka amekubaliana masharti na Sunderland, huku klabu hiyo sasa ikiwa kwenye mazungumzo na Bayer Leverkusen kuhusu ada ya kiungo huyo wa Uswisi mwenye umri wa miaka 32 (Times).

Atalanta na Lazio wanavutiwa na mshambuliaji wa Manchester United na Denmark Rasmus Hojlund, 22 (Footmercato).

Atletico Madrid wameanza mazungumzo na Chelsea kuhusu mpango wa kumsajili Renato Veiga, huku Blues wakidai takriban pauni milioni 35 kumuachia beki huyo wa kati wa Ureno mwenye umri wa miaka 21 (Fabrizio Romano).

Everton wanavutiwa na beki wa kushoto wa Bayern Munich na Morocco Adam Aznou, 19 (Athletic).

Brentford wamekataa ofa ya kwanza ya pauni milioni 30 kutoka Newcastle kwa ajili ya mshambuliaji wa DR Congo Yoane Wissa, 28 (Tbrfootball).

Wolves wako karibu kukamilisha usajili wa winga wa Colombia Jhon Arias, 25, kutoka Fluminense na beki wa kulia wa Hispania Marc Pubill, 22, kutoka Almeria (Telegraph).

Manchester United wanamfuatilia beki wa kushoto wa Mali, Dan Sinate wa Angers, lakini hawana uwezekano wa kufanya uhamisho kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 hadi Januari mapema zaidi (Sun).

Everton wanavutiwa na Samuel Lino wa Atletico Madrid, huku klabu hiyo ya Hispania ikiwa tayari kupokea ofa kwa winga huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 25 (AS).
 
1000090698.jpg

1000090697.jpg


1000090696.jpg

Addidas hawana jambo ndogo🔥🔥🔥

YNWA
 
FSG walivyochafukwa sijui kama hawajabadilisha uraia hawa wamekuwa na Uraia wa Kiarabu pale Saudia usikute sasahivi anaitwa Sheikh Yahya Henry.

Yani wamemwagwa £300M halafu wanapata jeuri ya kusema ndiyo kwanza wanaendelea kusajili?
Si ajabu sasa hivi FSG wanaitwa Sheikh John W. Henry bin Salah Al Fenway.

Unasikia wanaendelea kusajili? Mkuu, hela imemshika kama Saudi Deal ilivyomshika Neymar – hawajui hata watumieje! Jana wanasema ‘tight budget’, leo wako kwenye shortlist ya every player kwenye Transfermarkt kama wanapanga career mode ya FIFA.

Hii si FSG tunayowajua. Zamani walikuwa wanakula kachumbari ya scouts, leo wanakula biriani ya Dirham. Hii siyo Fenway Sports Group tena – hii ni Fenway Sheikh Group.

Usishangae Slot akipewa budget ya uwanja wa ndege – wakisema wanataka kumnunua mbadala wa Salah, halafu unaambiwa ni Mohamed bin Salah mwenyewe, pro max edition." 🤣🤣🤣
 
Mkuu kumbe unapenda Mishangazi?

Hivyo vya 2000 sio vitoto tena sasa hivi wana miaka 25 tayari ni Mishangazi hiyo yameshatoa mimba kama 8 hivi huko sisi tumeshahama.
Tumehamia kwa vitoto vya 2010 sasa vinakunjika kama kamongo.
🤣🤣🤣🤣 Kaka nawewe umo kumbe?
 
Hahaha UFC sio mieleka ni ngumi kavu kavu bila gloves yaani watu wanapasuana midamu mpaka ukubali umeshindwa ndio refa anawagombelezea hata wanawake wanaicheza
Hee😂😂😂😂
Hatari sana
Heri nife masikini kuliko kucheza huo mchezo wa ngumi
 
Aisee sema tu ukweli wako, nilifichwa na kitoto kimoja kizuriiiii,..
Height -->Macca (approximately).
Colour (secret).
Behavior --> Mo Salah A+.
Personality --> Nunez plus Robbo.
Physical appearance --> Szoboszlai's Jersey number.

Mengine nikirudi mafichoni nitaandika notes, haya ya haraka haraka kuhusu hako katoto ka two thauzandi.

Ynwa'
Huyo mtoto ni nani jamani
Anataka atupotezee chambuzi letu nguli
 
Dah mtu anakuambia Andy Caroll ni Next El Ninho, siku za giza nikizikumbuka nabaki kucheka na kufurahi kwa niyaonayo sasa hivi
Andy Caroll wa Newcastle alikua moto kweli kweli, ila kuja LFC flop. By the way Newcastle walikua wazuri kikosi chao kilikua kinatoa National team players
Bajcetic my boy naomba majeraha yakae mbali nae
Ile injury imemrudisha nyuma sana, 2023/2024 if he hadn't gotten injured it could have been his year.
Kipaji kimo sana kwa jamaa, namkubali.

Ynwa
 
🚨𝗨𝗣𝗗𝗔𝗧𝗘 - ⁦@JacobsBen⁩: Bayern Munich set to make an improved offer for Luis Diaz and are prepared to pay up to €80m.

Liverpool rejected a €67.5m bid, but Bayern remain intent on testing #LFC’s not for sale stance.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom