Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Trent wamembeba
Konaté anaenda
Kwa huu ujumbe wanamtaka Macca
Hawa jamaa hawa scouting dept ya kusaka vipaji? 😂😂😂
IMG-20250715-WA0027.jpg
 
Huu siyo ubaguzi? Aina hii ya ushabiki ni hatari sana...Saver ni moja tu Boss.
Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?

Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
 
Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?

Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
Mpira sio uadui.
 
Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?

Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
Wanatujazia tu page kwa mabo yao.
 
🚨🚨🤯 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: If Isak won’t be available, 𝐋𝐢𝐯𝐞𝐫𝐩𝐨𝐨𝐥 𝐜𝐚𝐧 𝐞𝐧𝐭𝐞𝐫 𝐇𝐮𝐠𝐨 𝐄𝐤𝐢𝐭𝐢𝐤𝐞 𝐫𝐚𝐜𝐞... while Newcastle remain in talks for him. 👀
 
Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?

Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
Ok sikua na taarifa hii; ushabiki ni furahaa...usiwe rigid kubaki na mambo ya Liverpool tu. Kwani akipost kuna sheria ipi ya nchi au za JamiiForums zimevunjwa? Wengine mnachukulia ushabiki kwa namna ya kipekee kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom