Huu siyo ubaguzi? Aina hii ya ushabiki ni hatari sana...Saver ni moja tu Boss.Moderator naomba ufute hii picha maana huu sio uzi wa Chelsea, na kama ikiwezekana piga ban na huyu mleta hii picha
Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?Huu siyo ubaguzi? Aina hii ya ushabiki ni hatari sana...Saver ni moja tu Boss.
Masela🔥🔥💪💪😂😂
Mpira sio uadui.Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?
Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
Kajaribu kupost habari ya Siasa kwenye jukwaa la MMU. Utaikuta imeshamishwa. Vitu vingine vinahitaji mpangilio tuMpira sio uadui.
Wanatujazia tu page kwa mabo yao.Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?
Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
Hili jukwaa ni la kwetu sote punguza kupangia watu cha kupost et kisa ni thread ya liverpool.Kajaribu kupost habari ya Siasa kwenye jukwaa la MMU. Utaikuta imeshamishwa. Vitu vingine vinahitaji mpangilio tu
Kajaribu kupost habari ya Siasa kwenye jukwaa la MMU. Utaikuta imeshamishwa. Vitu vingine vinahitaji mpangilio tu
Ok sikua na taarifa hii; ushabiki ni furahaa...usiwe rigid kubaki na mambo ya Liverpool tu. Kwani akipost kuna sheria ipi ya nchi au za JamiiForums zimevunjwa? Wengine mnachukulia ushabiki kwa namna ya kipekee kabisa.Mashabiki wa timu zingine mna ushamba na utoto mwingi sana. Hivi kuna shabiki wa Liverpool ameshawahi kuingia Kwenye nyuzi za timu nyingine akapost habari za Liverpool?
Au kwa sababu nyuzi za timu zingine hazina visitors kama huu uzi na habari za hizo timu hazisomwi na ndio maana mnakuwa mnazipost kwenye huu uzi?
The magpies wanamkazia sana kijana hawana utu kabisa