Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG-20250713-WA0030.jpg
 
number of Liverpool's senior players not involved today have instead been taking part in individual training sessions back at Kirkby.

Given the obvious disruption to the Reds' pre-season preparations, no risks are being taken over the fitness of players, reports @IanDoyleSport
 
Kaka tushavurugwa

On my books jota, nunez na hawa waingereza walikua wanatuletea 200m quids wallet for new players

And rodrygo wasn’t in thr package

Msiba na kukosa sales baona tunaishia kuwa na bad summer hasa Kama konate na Macha wataondoka
Tulianza vyema sana dirisha hili mpaka msiba wa Jota unatukuta mipango ilikua inakwenda vizuri sana.
Tulipo sasa sio pambaya sana kwa kua klabu ilishatoa taarifa kwa wachezaji wote wale ambao wanatakiwa kubaki wanajijua wale ambao wa kuuzwa wanajijua na pazuri Jota hakua kwenye listi ya kuuzwa.
Wachezaji pekee wanaoumiza kichwa ni Konate na Diaz hawa aisee wanatuvuruga lakini pale tuna gwiji Edwards hua hakosi plan B ever sokoni hivyo hatuna haja ya panick mode kwa kua dirisha lipo wazi....
Macca ni untouchable kikosini hivyo hata yeye anajua Madrid hawana nafasi labda aje kama Coutinho na Ombi la kuodoka mkononi....

YNWA
 
Tulianza vyema sana dirisha hili mpaka msiba wa Jota unatukuta mipango ilikua inakwenda vizuri sana.
Tulipo sasa sio pambaya sana kwa kua klabu ilishatoa taarifa kwa wachezaji wote wale ambao wanatakiwa kubaki wanajijua wale ambao wa kuuzwa wanajijua na pazuri Jota hakua kwenye listi ya kuuzwa.
Wachezaji pekee wanaoumiza kichwa ni Konate na Diaz hawa aisee wanatuvuruga lakini pale tuna gwiji Edwards hua hakosi plan B ever sokoni hivyo hatuna haja ya panick mode kwa kua dirisha lipo wazi....
Macca ni untouchable kikosini hivyo hata yeye anajua Madrid hawana nafasi labda aje kama Coutinho na Ombi la kuodoka mkononi....

YNWA
I would sell both todsy

Ni bora kumalizana kabisa na problems
 
I would sell both todsy

Ni bora kumalizana kabisa na problems
Discussion is happening for both... Konate want Real Madrid na tetesi ni kwamba aidha asaini ama watoe $25m dirisha hili aodoke....
Diaz is open to remaining Liverpool unless ije ofa nono kwa klabu na yeye aafiki hio ofa basi ataodoka at least tunakua Barcelona ndio moyo wake ulipo au Bayern kama plan c.
Muda utasema.

YNWA
 
1000078079.jpg

Jota no more...
Nunez almost out...
Chiesa open to out..
Elliott exploring options..
Diaz awaiting offers...

We are left with Florian, Salah and Gapko.
Hughes have to work tirelessly to anticipate the outcomes in the market...
Nunez replacement Benjamin Sesko from RB Lp...
Cheisa replacement Antonie Semenyo from Bono....
Diaz replacement Bukayoko from PSV...
Elliott replacement Neres from Napoli 🔥🤣🤣🤣....

Ama namna Gani...

YNWA
 
Liverpool are set to act quickly to secure a deal for Marc Guehi this week, with a substantial opening bid prepared.

The England defender is expected to immediately replace Ibrahima Konate, who appears close to joining Real Madrid.

[@TEAMtalk]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom