Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,537
- 18,640
Nunez miwili tena jamani pale Anfield! Kwa hiki alichokifanya kwa Jota kitoshe kumwongezea mkataba aisee!Kabisa ndugu dogo ni zaidi ya mchezaji no wonder wanaohudhuria mechi Anfiled hua wanasimama nae iwe mvua iwe jua wapo nao mbega kwa mbega.
Napoli naona washamuuzia project yao chini ya Conte na ameafiki kwamba Liverpool iwasikilize ngoja tuone itakua aje.
YNWA