BukuTatu_AlfuTatu
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 250
- 559
Mafanikio ni yetu duniani ila kifo ni rafiki mnafiki na msiri anayeshinda na sisi asubuhi, mchana na jioni hata usiku tukipumzika ,forever in our memory Diogo jota.💔🙏
We kichwani zimepungua huenda ni ugumu wa maishaAcha bangi,uliposema hadi ya ulaya ulikusudia nn? Sasa hapo zilizopungua kichwani ni kwako ama kwangu?
Asante sana kwa maneno yako yenye kunitia nguvu mtakatifu Anne maneno yako yana uzito wa hali ya juu sana kimwili na kiroho.Pole sana Mkuu
Naelewa maumivu yako vizuri maana mimi pia nilifiwa na Mzazi miaka michache nyuma.
Omba Mungu akupe ustahimilivu, Si rahisi.
Ila pia usiache kupita huku jukwaa la michezo
Utapata uchangamfu wa akili.
Jichanganye na watu , ukipata muda wa kuongea, ongea, lia, ukipata watu wa kukusikiliza hisia zako usiache kuongea... Inapunguza machungu.
Nawaombea familia nzima
Mungu asiwaache katika kipindi hiki kigumu.
Twajua ya kuwa Mungu aweza kufanya mambo yote makusudi yake kamwe hayazuiliki.
Bwana alitoa na sasa ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.
yeah na hapo ndio tunapokuwaga tofauti na club nyingi hii ni root kuwa liverpool aise ni zaidi ya shabiki unaajikuta ni familia, we angalia hata page za clubu tofaut posst zao alafu tafuta pages za clubu compare lazima utaona utofauti.Na Club imeamua kusomesha watoto wake, i love you Liverpool, I love you FSG
Ndio umeongea nini Sasa mzee hapo mwishoni page za club sijakuelewayeah na hapo ndio tunapokuwaga tofauti na club nyingi hii ni root kuwa liverpool aise ni zaidi ya shabiki unaajikuta ni familia, we angalia hata page za clubu tofaut posst zao alafu tafuta pages za clubu compare lazima utaona utofauti.
Na laliga piaMaisha bila EPL magumu sana , natazama mechi ya wanawake ya Spain vs Belgium
Hii imekaaje cops?🚨🎖️ 𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz is now set and READY to join Barça without any guarantees or conditions, says Mundo.
“He believes Barça can register him”.
Arse8 watani zetu😁Asante sana kwa maneno yako yenye kunitia nguvu mtakatifu Anne maneno yako yana uzito wa hali ya juu sana kimwili na kiroho.
Yaan umeandika maneno yenye faraja ambayo hata rafiki zangu wa karibu hawajawahi kuyasema zaidi tu ya kuniambiia pole na kisha wanapita zao hivi, ubarikiwe sana dada.
Kuhusu kupita huku kwenye majukwaa ya michezo, nafanya sana japo siji mara kwa mara kwenye hili jukwaa lenu.. you know i am ardent gooner and my blood is red and white in color.
#COYG
Kana hekaheka😁😄Muonekano mpya wa Núñez
View attachment 3398213