Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Hizi akili angwaachia akina Nunez na Diaz😭😭
Kajamaa kalikuwa na akili sana aisee
Hizi akili angwaachia akina Nunez na Diaz😭😭
Hiyo aliyopiga penati dhidi ya Kepa ndio mechi yangu bora kuwahi kutokea.
Happiest birthday kwake Vandame na Cyborg wa timu.
Huyo mwenye kofia hapo juu kwa heshima zote tunaomba atoe hiyo kofia imeziba machiView attachment 3398337
Leo vijana wameaza mazoezi kwa ajili ya msimu mpya.
Jumapili mech ya kwanza ya kirafiki Liverpool vs Preston.
YNWA
NImeona sehemu eti wanasema hakwenda msibani kwa jota, ni kweli?
Hakwenda ndio na akajipiga picha yupo kwao kwenye Party na Washikaji wanakula Bata tu.Aende tu
NImeona sehemu eti wanasema hakwenda msibani kwa jota, ni kweli?
Allison nae ni pazia?Hiyo aliyopiga penati dhidi ya Kepa ndio mechi yangu bora kuwahi kutokea.
Liver inauxa golikipa kama huyu ila imeacha mapazia yasiyodaka penati.
Mechi zote zinazoenda penati tujiandae kupata maumivu.
Eti ni FrimpongHuyo mwenye kofia hapo juu kwa heshima zote tunaomba atoe hiyo kofia imeziba machi
Asije kudondoka bure bado tuna machungu sisi 😭
Ghafla nimeogopa magari😭
Shetani anaona wachezaji hawezi kuwapata kwenye magonjwa maana wapo fit muda wote wanakula zoezi.
Vifo vyao vingi ajali
Mara mtu kadondoka na private jet
Yaani utajiri wake unamuua mwenyewe
Hakwenda ndio na akajipiga picha yupo kwao kwenye Party na Washikaji wanakula Bata tu.
Wakati Yeye baba yake ametekwa Jota alikuwa anam sapoti sana na hata alipofunga goli alionyesha jezi yake kama kumpa pole na kumfarijiii
Aliiposti kwenye page yake mwenyewe?😳😳
Kumbe ni kweliHakwenda ndio na akajipiga picha yupo kwao kwenye Party na Washikaji wanakula Bata tu.
Wakati Yeye baba yake ametekwa Jota alikuwa anam sapoti sana na hata alipofunga goli alionyesha jezi yake kama kumpa pole na kumfariji
Lini Alison aliwahi fanikiwa kudaka mechi za penati?Allison nae ni pazia?
Dada utakuwa haupo serious eti
Akidondoka tuanze kulia tena kwamba kofia ilimziba macho?Eti ni Frimpong
Asiitoe imempendezesha mnooooo
Allison hatari wewe zile 1v1 ni balaa unakumbuka zile saves hasa ile na Napoli?Lini Alison aliwahi fanikiea kudaka mechi za penati?
Nsongelea mechi zinazoenda kwenye penati.
Allison huwa anadaka penati?
Watoto wa America ya Kusini wana makuzi ya hovyo na adabu wengi wao hawanaKumbe ni kweli
Wivu utamuua
Na wala hawezi fikia hata nusu ya uwezo wa Jota golini.
Kana wivu hadi Kwa marehemu
Huyu Diaz roho mbaya
Atuachie tu timu yetu aende.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akiwepo golini Allison uwe na amani. Japo kocha wake wa makipa anaemwamini ametemwa na klabu naamini bado tupo kwenye mikono salama.Hiyo aliyopiga penati dhidi ya Kepa ndio mechi yangu bora kuwahi kutokea.
Liver inauxa golikipa kama huyu ila imeacha mapazia yasiyodaka penati.
Mechi zote zinazoenda penati tujiandae kupata maumivu.
KaDiaz kachawi
Hao hawakuhudhuria ila tumeona wameguswa na Msiba.Hata Salah, Alisson Becker, Cristiano Ronaldo hawakuhudhuria mazishi
Hadakagi penati huyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akiwepo golini Allison uwe na amani. Japo kocha wake wa makipa anaemwamini ametemwa na klabu naamini bado tupo kwenye mikono salama.
YNWA
Penati anadakaga?Allison hatari wewe zile 1v1 ni balaa unakumbuka zile saves hasa ile na Napoli?