Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🕊️ LIVERPOOL hawakuwahi kupoteza mchezo wowote ambao DIOGO JOTA alifunga goli kwenye Ligi Kuu Nchini Uingereza.
.
JOTA alifunga kwenye mechi 52 ambapo Liverpool ilipata ushindi mara 43 na kupata sare 9.
.

Pumnzika kwa amani, DIOGO 🕯️🕊️
 
🕊️ LIVERPOOL hawakuwahi kupoteza mchezo wowote ambao DIOGO JOTA alifunga goli kwenye Ligi Kuu Nchini Uingereza.
.
JOTA alifunga kwenye mechi 52 ambapo Liverpool ilipata ushindi mara 43 na kupata sare 9.
.

Pumnzika kwa amani, DIOGO 🕯️🕊️
Hivi mkuu kwenye ajali wameweza ku recover mwili kweli
 
IMG-20250705-WA0022.jpg
 
Inatia simanzi sana kwakweli. Hawa jamaa wameshindwa kuvumilia machozi yamewashuka
Mimi mwenyewe nilipambanaaaa nikashindwa, yalivyonibubujika niliacha yabubujike tu

Mimi mpaka jana nilikuwa sijakaa sawa, hata kazini jana sikwenda kwa sababu ya maumivu, kichwa hakikuwa sawa, nikajizuia hata kuingia mtandaoni maana kila nikiingia online simanzi ilikuwa inaongezeka zaidi

Leo nahisi kuanza kuwa sawa, imenibidi nikubali tu kwamba Mwamba ametutoka japo ni ngumu akili yangu kuamini hivyo
 
Jamaa mguu wake ulikuwa na maajabu sana golini
Amekufa na akili zake zilizokuwa na ushirikiano na miguu yake..
Alikuwa na maamuzi sahihi sana anapokuwa golini.. kitu kilichofanya wengi tumpende sana.
Kiukweli ni Pigo.

Watoto wake🙌🏿💔
Mimi kama muhanga wa kupoteza Bqba, Nawahurumia sana watoto.
Uwepo wa Baba ni zawadi kubwa mno kuliko Mali na fedha yoyote ile.
Pengo la Baba halizibiki kwa namna yoyote ile .

Mkewe kawa mjane katika umri mdogo mno .
Wazazi wamebaki bila mtoto yeyote.. to lose all two children at par,,,mambo haya ni magumu mno, neema ya Mungu tu isimame.
Hivi ni vitu vilivyoniliza huu msiba.
 
Tuwaombee pia wachezaji wetu waliobakia.
Mungu awalinde lakini pia awape nguvu ya kusonga mbele
Kiukweli, kupoteza mtu ambaye ulikuwa naye kazini muda wote siyo jambo rahisi kuovercome..
Premature death siyo fungu letu IJN..
Naamini Mungu anatuwazia mema.
Jina lake lihimidiwe milele yote.
 
1000076009.jpg

Late Jota with his family.

Kwa heshima kubwa kwa Jota Liverpool wameamua kupumzisha jezi Namba 20 pia uongozi umeamua watalipa stahiki zote zilizobaki kwenye miaka miwili aliyokua amebakisha kwenye mkataba wake. 🙏🏾🙏🏿🙏🏾🙏🏿🙏🏾🙏🏿🔥🔥🔥🔥🔥 Heshima kubwa kwa FSG

YNWA
 
View attachment 3395120
Late Jota with his family.

Kwa heshima kubwa kwa Jota Liverpool wameamua kupumzisha jezi Namba 20 pia uongozi umeamua watalipa stahiki zote zilizobaki kwenye miaka miwili aliyokua amebakisha kwenye mkataba wake. 🙏🏾🙏🏿🙏🏾🙏🏿🙏🏾🙏🏿🔥🔥🔥🔥🔥 Heshima kubwa kwa FSG

YNWA
Na Club imeamua kusomesha watoto wake, i love you Liverpool, I love you FSG
 
Nikiwa kama shabiki wa Manchester City, niwape pole wanaliverpool kwa kumpoteza bingwa,shujaa,kijana mwenzetu, jasiri, Diogo Jota na kaka yake. Tuko pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi 🙁 jamii ya soka, jamii ya vijana tunasikitika sana kuondokewa na mchezaji mahiri kama yeye.

Hata tuonane tena pale juu, Amen.
 
Nikiwa kama shabiki wa Manchester City, niwape pole wanaliverpool kwa kumpoteza bingwa,shujaa,kijana mwenzetu, jasiri, Diogo Jota na kaka yake. Tuko pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi 🙁 jamii ya soka, jamii ya vijana tunasikitika sana kuondokewa na mchezaji mahiri kama yeye.

Hata tuonane tena pale juu, Amen.
Kaka yake,au mdogo wake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom