Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama tutamkosa Isak ni bora Diaz tumtumie kama ST tusubiri kumsajili Isak msimu ujao
Tatizo kubwa sasa hivi ni kwamba washambuliaji wa asili wamepotea, Dunia nzima hakuna strikers wa maana wa kutegemewa.
Ukiangalia kwa daraja la juu, tumebakiwa na Haaland, Isak, Kane na Alvarez tu.
Wengine kama Retegui na Lautaro Martinez hawako kwenye hiyo profile, halafu unakutana na akina Ekitike na Sesko bei juu 80ml na bado inakuwa kama kamari.
Ndio maana Madrid na PSG wameamua kubadili mchezo wanachezesha wingers kama washambuliaji mbele, hakuna tena yule mshambuliaji wa kusubiri mpira wa mwisho
 
Wakuu

Msela Wa Kitaa
Captain Marvelous

Mmemuelewaje huyu David Ornstein?

Liverpool have conducted impressive early work this summer — recruiting Jeremie Frimpong, Florian Wirtz and agreeing a deal for Milos Kerkez — but that activity is likely to be followed by a pause while they observe market developments.

[@David_Ornstein]
Uongozi unasubiri kuuza wachezaji waliopangwa kuuzwa ili kuongeza kibunda kwenye akaunti si unajua sera yao SELL and BUY

Ngoja tuone itakuwaje, Quansah na Nat wameshauzwa tusubiri wauzwe na wengine hata wawili ndio tutajua mbivu na mbichi
 
nat-phillips-farewell-instagram-post-v0-grr27a4tlu8f1.jpeg


 
Another Bundesliga club are now eyeing potential moves for two Liverpool stars, according to reports from Germany. That club is Bayern Munich, who’s interest in Cody Gakpo has been heavily reported over recent months.


According to Christian Falk, Bayern are now also interested in a potential deal to sign Luis Diaz this summer. The Liverpool forward has been heavily tipped for a move away from Anfield this summer, with a number of Saudi clubs and Barcelona interested in the 28-year-old.
 
Wakuu

Msela Wa Kitaa
Captain Marvelous

Mmemuelewaje huyu David Ornstein?

Liverpool have conducted impressive early work this summer — recruiting Jeremie Frimpong, Florian Wirtz and agreeing a deal for Milos Kerkez — but that activity is likely to be followed by a pause while they observe market developments.

[@David_Ornstein]
😃😃😃😃😃 FSG kama FSG.....
Pause = sell to buy policy is activated meaning they will recover as much what they have used...
So far..
Philips sold...
Quansah sold...
Trent 'sold'
Keller sold
Elliott loading...
Robertson loading...
Diaz undecided...
Nunez loading....
Jota undecided...

Muda utasema....

Tuna upungufu pale nyuma bila Quansah japo unaweza Kuta Slot anataka kutumia mabeki watatu nyuma aafu atulie wing backs Flp na Kz hivyo ngoja tuone ndugu.

YNWA
 
😃😃😃😃😃 FSG kama FSG.....
Pause = sell to buy policy is activated meaning they will recover as much what they have used...
So far..
Philips sold...
Quansah sold...
Trent 'sold'
Keller sold
Elliott loading...
Robertson loading...
Diaz undecided...
Nunez loading....
Jota undecided...

Muda utasema....

Tuna upungufu pale nyuma bila Quansah japo unaweza Kuta Slot anataka kutumia mabeki watatu nyuma aafu atulie wing backs Flp na Kz hivyo ngoja tuone ndugu.

YNWA
Huo mfumo wa 3CBs bila DM pale EPL unakufa vibaya mno😂, situmai kama atautumia
 
Kama tutamkosa Isak ni bora Diaz tumtumie kama ST tusubiri kumsajili Isak msimu ujao
Tatizo kubwa sasa hivi ni kwamba washambuliaji wa asili wamepotea, Dunia nzima hakuna strikers wa maana wa kutegemewa.
Ukiangalia kwa daraja la juu, tumebakiwa na Haaland, Isak, Kane na Alvarez tu.
Wengine kama Retegui na Lautaro Martinez hawako kwenye hiyo profile, halafu unakutana na akina Ekitike na Sesko bei juu 80ml na bado inakuwa kama kamari.
Ndio maana Madrid na PSG wameamua kubadili mchezo wanachezesha wingers kama washambuliaji mbele, hakuna tena yule mshambuliaji wa kusubiri mpira wa mwisho
Lipo jamaa la juve, kolo muani na thuram pia
 
Na tumeondosha CB wawili sasa Quansah na Nat Phillips yani kwa injury za Gomez na Konate atakuja kucheza Endo au MacAllister pale CB.
Ni ajali tunasubiri bila kusahau VVD umri haurudi nyuma hivyo kiwango Cha ushindani kitashuka kiasi...
Bila kusajili beki wa kati mmoja hakika tuwe na maneno ya akiba.
Guèhi anatufaa mno..tuwape muda wa kuuza aisee.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom