Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adam Lallana naona kastaafu mpira
IMG-20250625-WA0026.jpg

IMG-20250625-WA0025.jpg
 
🚨🔴⚫️ The buy back clause for Jarell Quansah deal exclusively revealed last week will be worth over €60m.

It won’t be available in 2026, only from 2027 as agreed between Liverpool and Bayer Leverkusen.

The initial fee will be £30m plus £5m add-ons.

Maelezo Muhimu kuhusu dili ya Jarell Quansah:

  • Ada ya awali: Pauni milioni 30
  • Nyongeza (add-ons): Pauni milioni 5 kulingana na utendaji
  • Kifungu cha kununua tena (Buy-back clause): Zaidi ya Euro milioni 60
  • Kitaanza kutumika: Kuanzia mwaka 2027 pekee, si kabla ya hapo
  • Anayenunua: Bayer Leverkusen
  • Taarifa: Ilifichuliwa wiki iliyopita kwa kipekee

🔴 Liverpool wamejihakikishia uwezekano wa kumrudisha Quansah siku zijazo, ishara kuwa bado wana imani na uwezo wake wa muda mrefu licha ya kumuuza sasa.
 
Utambulisho wa Kerkez ni leo.
Captain Marvelous tunasubiri mapicha picha 😂😂😂

YNWA
View attachment 3382905
🙏🏾🙏🏾🙏🏾Hawajaziachi aisee zitakuja tu 😀😀😀huyu ni wa kwetu mbona.

Kerkez ni habari nyingine kabisa ni mridhi sahihi wa mishe za Robbo na pia hua anatupia magoli hivyo tupo kwenye mikono salama

YNWA
 
🙏🏾🙏🏾🙏🏾Hawajaziachi aisee zitakuja tu 😀😀😀huyu ni wa kwetu mbona.

Kerkez ni habari nyingine kabisa ni mridhi sahihi wa mishe za Robbo na pia hua anatupia magoli hivyo tupo kwenye mikono salama

YNWA

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom