Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🚨✈️ EXCL: Milos Kerkez and his family on the way to Merseyside! 🇭🇺

The first exclusive picture of the left back as Liverpool player with transfer due to be signed and sealed on Tuesday.

Here we go, confirmed. 🔴✅
IMG-20250623-WA0021.jpg
 
🚨💣 BREAKING: Milos Kerkez to Liverpool, here we go! Plan from May confirmed as it’s all agreed between clubs.

£40m transfer fee, long term deal and Kerkez set for medical in the upcoming days.

Kerkez to Liverpool, never in doubt. 🔐
#Romano Fabrizio
Alizimba masikio yake hakutaka kusikia timu nyingine zaidi ya Liverpool. Hua napata faraja kuona wachezaji wakisema ni Liverpool tu na hakuna mwingine, Florian na Kerkez ni mifano hai kwamba bado tuna mvuto uwanjani na ki ushindani.
Gonga cheers 🥂 🥂 🥂 kushabikia timu yetu pendwaaa.

YNWA
 
Kostantinos Tsimikas 🇬🇷

kuhusu uwezekano wa kuondoka Liverpool au ligi ya England kiujumla , amesema

Kiuhalisia mahitaji makubwa ni kucheza zaidi ,lakini binafsi yangu kucheza michezo 27-29 kwa mwaka katika mashindano yote nibora zaidi kwangu kuliko kucheza michezo 40 katika timu nyingine na ligi nyingine , binafsi hapa nilipo nipo katika njia kuu ya mpira wa miguu ".
 
Kostantinos Tsimikas 🇬🇷

kuhusu uwezekano wa kuondoka Liverpool au ligi ya England kiujumla , amesema

Kiuhalisia mahitaji makubwa ni kucheza zaidi ,lakini binafsi yangu kucheza michezo 27-29 kwa mwaka katika mashindano yote nibora zaidi kwangu kuliko kucheza michezo 40 katika timu nyingine na ligi nyingine , binafsi hapa nilipo nipo katika njia kuu ya mpira wa miguu ".
Quality over quantity 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Boy feels at home.

Sasa mnasema aje aodoke 'Babu' Robbo ama Tsimikas ama wote aafu tubaki na Kerkez na Owen Beck🤓😎😎

YNWA
 
Haya FSG malizia Striker tufunge Kitabu cha usajili.

Kuhusu DM nitawasubiri January au next season kwasasa nikipata Striker sina cha kuwadai.

Bila ya Striker inaweza kutuletea changamoto kwani mfungaji pekee alikuwa ni MO Salah hivyo msimu huu akiwa vibaya manake hatuna mfungaji tutakufa vibaya sana.
 
Haya FSG malizia Striker tufunge Kitabu cha usajili.

Kuhusu DM nitawasubiri January au next season kwasasa nikipata Striker sina cha kuwadai.

Bila ya Striker inaweza kutuletea changamoto kwani mfungaji pekee alikuwa ni MO Salah hivyo msimu huu akiwa vibaya manake hatuna mfungaji tutakufa vibaya sana.
waongee vizur na Napoli tuwape Nunez na vihela kidogo tumchukue Osmihen
 
🚨🩺 Medical tests underway at Liverpool for Milos Kerkez after arriving on Monday!

Contract set to be signed right after for £40m deal done from Bournemouth.
 
Haya FSG malizia Striker tufunge Kitabu cha usajili.

Kuhusu DM nitawasubiri January au next season kwasasa nikipata Striker sina cha kuwadai.

Bila ya Striker inaweza kutuletea changamoto kwani mfungaji pekee alikuwa ni MO Salah hivyo msimu huu akiwa vibaya manake hatuna mfungaji tutakufa vibaya sana.
Kama kweli hatupo mazima wa Osiemen basi kuna tatizo kubwa sana kwa huyu dogo ambayo hatujui maana ukitazama GA yake inatosha mno.
Ni mchezeshaji , ni mfungaji, hana injury za mara kwa mara.

YNWA
 
Quality over quantity 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Boy feels at home.

Sasa mnasema aje aodoke 'Babu' Robbo ama Tsimikas ama wote aafu tubaki na Kerkez na Owen Beck🤓😎😎

YNWA
Kwa kifupi Tsimikas haondoki ndani ya Liverpool hadi wamfukuze.Hiyo ndio tafsiri sahihi ya maneno yake

🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom