Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Wembley here we come 😄 😄
YNWA
FSG nahisi wanatutega, tutegemee kutokuona big sign yeyote misimu hii ya karibuni mpk 2027 refer ule usaili wa VVD, FAB na KEITA na ABView attachment 3378500
Vijana wapya ndio Hawa kwa sasa. Mpaka dirisha linafungwa nategemea kuona wakiongezeka.
Angalau hapo tuongeze CB mmoja, DM mmoja na Strika mmoja.
YNWA
Kuhusu DM sioni akisajiliwa dirisha hili, LabdaaaaView attachment 3378500
Vijana wapya ndio Hawa kwa sasa. Mpaka dirisha linafungwa nategemea kuona wakiongezeka.
Angalau hapo tuongeze CB mmoja, DM mmoja na Strika mmoja.
YNWA
😂😂😂😂😂😂With FSG enjoy while you can brother.FSG nahisi wanatutega, tutegemee kutokuona big sign yeyote misimu hii ya karibuni mpk 2027 refer ule usaili wa VVD, FAB na KEITA na AB
Kimsingi tupo vizuri sana aisee sokoni tumeshapata jawabu upande wa kushoto na kulia wa mabeki ambao ni wachanga damu zinachemka.Kuhusu DM sioni akisajiliwa dirisha hili, Labdaaaa
Kwa DM unadhani nani sasa hiv atatufaa aliepo sokoni?Kimsingi tupo vizuri sana aisee sokoni tumeshapata jawabu upande wa kushoto na kulia wa mabeki ambao ni wachanga damu zinachemka.
Tusubiri wakiuza akija Elliott labda watanunua.
YNWA
Ederson wa Atlanta anatufaa. Tetesi pia wamo Juventus na timu za warabuni zinamnyemelea hivyo tuwe chap kama kweli tunamtakaKwa DM unadhani nani sasa hiv atatufaa aliepo sokoni?
Hapa ndipo unawaza umuhimu wa mchezaji aina ya GINI
One of the best signing under FSG
Huyu Ande liva walimkataa msimu wa jana sijui sababu ilikua ni niniEderson wa Atlanta anatufaa. Tetesi pia wamo Juventus na timu za warabuni zinamnyemelea hivyo tuwe chap kama kweli tunamtaka
Yupo old target pale Wolves kijana Andre Trindade ambae tulimfuatilia enzi zile yupo Fluminense.
Tukimpata mmoja ya hao mbona timu imekamilika.
YNWA
Hakua amejaribiwa kwenye ligi ngumu hivyo wakaona wampe muda. Na sasa wameshaona dogo anaweza.Huyu Ande liva walimkataa msimu wa jana sijui sababu ilikua ni nini
kwa upande wangu bado naamini Angelo Stiller anatufaa na pia siwaoni Madrid kama wanampango wa kusajili DM kwasasaKwa DM unadhani nani sasa hiv atatufaa aliepo sokoni?
Hapa ndipo unawaza umuhimu wa mchezaji aina ya GINI