anatua Guhei🤣🤣Slot anatuweka tumbo joto ujue.
Bila Quansah nani tena maana Konate na Gomez ni wodini muda wowote.
YNWA
🔥🔥🔥🔥Kesho yetu itakua salama bado kidogo tu tuwe kamili ana umri ndio huo huo chini ya 27.
Kwa kweli aje tu huyu mwamba tuwe kamili pale nyuma.anatua Guhei
slogan ya babu fergie😂😂Kwa kweli aje tu huyu mwamba tuwe kamili pale nyuma.
Ukuta imara unakupa makombe.
YNWA
Ana EPL 13 ndugu sio haba kuiga aliefanikiwa 🔥🔥🔥🔥slogan ya babu fergie😂😂
KabisaaaaAna EPL 13 ndugu sio haba kuiga aliefanikiwa 🔥🔥🔥🔥
YNWA
View attachment 3384514
Manyanza here he comes 🔥🔥🔥🔥
Never in doubt.....
Boy destined for greatness at the best club in the world...
YNWA
Naona tetesi ya Guehi
Konate anatuweka tumbo joto Mkuu hivyo mapema yasitukute ya Trent tuwe na mpango B kwa Guèhi....Naona tetesi ya GuehiView attachment 3384526
Kachagua timu Bora kabisa na timu kubwa nchimi Uingereza 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿