Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG-20250519-WA0067.jpg
 
Robertson ni club legend huwezi kumtoa kirahisi kama hivyo, alafu Tsimikas anauzika kirahisi compared to Robo so kwenye aspects hizo Tsimikas anafaa kuuzwa. Tsimikas ni wale wachezaji ambao wameshindwa kufikia expectation zao kiwango chake hakijakuwa tangia amechukulia hadi leo yupo vile vile
Kabisa Mkuu nakumbaliana na wewe.
Tuwe na subira dirisha liwe wazi tuone namna gani mambo yanakwenda sokoni.. biashara mapema maana Manchester City, Arsenal, Manchester United nk nk wote wapo bizy kusaka vipaji.

Tunahutaji RB, LB, CBR, DM na CS. Tayari RB kashatua na LB mazungumzo yashaanza. Muda utatupa majibu.

YNWA
 
Hii performance tunayomalizia League ni unacceptable 🚮

Tunaweza kuja kuanza next season kwa performance hiihii tunayomalizia League
 
Kabisa Mkuu nakumbaliana na wewe.
Tuwe na subira dirisha liwe wazi tuone namna gani mambo yanakwenda sokoni.. biashara mapema maana Manchester City, Arsenal, Manchester United nk nk wote wapo bizy kusaka vipaji.

Tunahutaji RB, LB, CBR, DM na CS. Tayari RB kashatua na LB mazungumzo yashaanza. Muda utatupa majibu.

YNWA
Mwalimu wako bado kidogo tumpe tuzo ya Mwalimu Bora wa kiswahili kwa Bobby
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom