Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wampe tu hiyo release wala sio ishu.Kumnyima release ili asishiriki sijui hiyo Club World Cup ni kuendelea kumpa umuhimu.
Hakuna kukapa
Na benchi tunakaweka
Na tunakaingiza dakika za nyongeza
Na mechi zikiisha vichambo vinaendelea kabla hakajatoka uwanjani.

Viva LFC 🔥🔥🔥
 
Ubaya ubwela
Kinachoongelewa ni ukweli
Kumbe mnaelewa kabisa kwamba city ikiwa kwenye form EPL mtaisikia kwenye bomba.

Kwahiyo mnapiga ramli iendelee kuwa mbovu ili mchukue tena kwa point gap 10+ 😂😂

Halafu mje mpige kelele mmechukua sababu ya ubora wa liverpool.
 
Kumbe mnaelewa kabisa kwamba city ikiwa kwenye form EPL mtaisikia kwenye bomba.

Kwahiyo mnapiga ramli iendelee kuwa mbovu ili mchukue tena kwa point gap 10+ 😂😂

Halafu mje mpige kelele mmechukua sababu ya ubora wa liverpool.
Form ipi timu ishajifia
Mara mia tumuhofie Aseno kuliko kitimu kidogo Mwasiti fc
 
Kwa maoni yangu naona tumechukua ubingwa msimu huu sio kwa ubora wetu bali kwa kuyumba kwa timu zingine hasa City.Points 90 tu zimetushinda kuzifikia!

Kuhusu Trent sisikitiki kwa kuwa anaondoka ila nasikitika namna anavyoondoka.Sikutarajia mtoto wetu wenyewe atusaliti over money.Though msimu huu game yake haikuwa on point nisingejali kuondoka kwake kama angeondoka huku akiiheshimu club.

Still tunahitaji sajili za maana kwenye beki wa kati,kulia na kushoto.Tunahitaji namba 6.Tunahitaji LW na striker namba 9...

Nunez
Jones
Diaz
Robertson
Gomes
Chiesa nk
Wanaweza tu kuondoka
Diaz na Jones waondoke?
😂
 
Timu inachukua ubingwa kwa mpishano zaidi ya points 10 mbele
Halafu unasema imechukua si kwamba ni Bora?

Mkuu,hata timu nyingine zilichukua ubingwa kwa kuyumba kwa timu zetu
Na ndio ubora wenyewe huo.
Bibie achana nao
anaye chukua ubingwa ndiyo BORA zaidi
Hata akichukua kwa points 50 huyo ndiyo bora
Dada Anne tukutane wapi kushangilia ushindi wetu?
 
IMG-20250515-WA0005.jpg
 
Hawa Madrid wanataka nini tena kwa huyu Dean Huijsen? Yaani hawa Kenge mpaka huyu wanataka tusimpate.
 
Bibie achana nao
anaye chukua ubingwa ndiyo BORA zaidi
Hata akichukua kwa points 50 huyo ndiyo bora
Dada Anne tukutane wapi kushangilia ushindi wetu?
Nipo hapa Ushirika nakula Kababu na ndizi choma😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom